Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Jf wote siyo wafanyakazi wa kuingia kazini mchana kuna wale wafanyakazi wanaoingia Usiku(night)
Mfano. Manesi,madoctor,walinzi,Polisi na kadharika.
Huu uzi ni kwa wale wanaongia kazini shift za usiku .
Kipindi wengine wamelala sisi tuko huku tunapiga stor na kupeana update za kazi.
Ps.
Mod mniamishie uzi wangu jukwaa usiku.
Mfano. Manesi,madoctor,walinzi,Polisi na kadharika.
Huu uzi ni kwa wale wanaongia kazini shift za usiku .
Kipindi wengine wamelala sisi tuko huku tunapiga stor na kupeana update za kazi.
Ps.
Mod mniamishie uzi wangu jukwaa usiku.