Uzi maalumu kwa upcoming Artist.

Uzi maalumu kwa upcoming Artist.

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,200
Huu uzi ni maalumu kwa Upcoming Artist ,
Wale wasanii ambao wametoa kazi zao na hazijapata Airtime au hawana majina kwenye industrie ya muziki na jamii kwa ujumla.

Weka kazi yako hapa ili Fans waweze kusikia na kushare kwa wengine .



Karibuni sana upcoming Artist wote na fans wake kwenye uzi huu maalumu.
 
[emoji121]
NIMEIS'KI'ZA KIMTINDO NI VERY NYOCHO!!!

ILA PRODUCTION HAIJAKAMILIKA HIYO.
[emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469]
 
Anatafutwa msanii wa kike mwenye sauti nyororo ashiriki kuimba chorus ya wimbo unaitwa KAMA FRESH wa msanii ROLEXA inarekodiwa kwa WCB
 
[emoji121]
NIMEIS'KI'ZA KIMTINDO NI VERY NYOCHO!!!

ILA PRODUCTION HAIJAKAMILIKA HIYO.
[emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469]
Ndio studio zetu hizo mkuu ukimwambia producer hivyo anakuona unamzingua ngoma anaitia kapuni
 
Ndio studio zetu hizo mkuu ukimwambia producer hivyo anakuona unamzingua ngoma anaitia kapuni
[emoji121]
MKUU,
MIMI NILIJIPUA.

NILIREKODI HIPHOP JOINT YANGU KWA JAMAA ANAITWA #GEORGE_JAMES PALE MABIBO_HOSTEL,
ILA KUIKAMILISHA AKAWA ANAZINGUA KUIKAMILISHA.

NIKAMWOMBA DATA AKANIPA,
NIKAENDA KWA PRODUCER_AMBAH AKANIDUFULIA BONGE LA BEAT,
AKAIMIX FULESH,

NIKAANZA KUPIGIA TONGOZO KITAA NA MTANDAONI!!!
[emoji121] [emoji121] [emoji121]
 
[emoji121]
MKUU,
MIMI NILIJIPUA.

NILIREKODI HIPHOP JOINT YANGU KWA JAMAA ANAITWA #GEORGE_JAMES PALE MABIBO_HOSTEL,
ILA KUIKAMILISHA AKAWA ANAZINGUA KUIKAMILISHA.

NIKAMWOMBA DATA AKANIPA,
NIKAENDA KWA PRODUCER_AMBAH AKANIDUFULIA BONGE LA BEAT,
AKAIMIX FULESH,

NIKAANZA KUPIGIA TONGOZO KITAA NA MTANDAONI!!!
[emoji121] [emoji121] [emoji121]
Yaani nina ngoma yangu nataka niifanye ni kali ila moyo unakufa ganzi nitapata wapi mkali wa Mixing
 
Yaani nina ngoma yangu nataka niifanye ni kali ila moyo unakufa ganzi nitapata wapi mkali wa Mixing
[emoji121]
PRODUCERS WENGI WANAKUWA BIZE NA KAZI ZA WASANII MAARUFU AMBAZO MOSTLY WANALIPWA HELA NDOGO AU WANANUNULIWA BIA TU KUZIFANYA,
HALAFU UPCOMING ANAYELIPA HELA WANAMSUMBUA.

KAMA TRACK YAKO NI YA RAP NENDA SEGEREA KWA #PRODUCER_AMBAH,
NA KAMA NI BONGOFLEVA YA WABANA PUMB*** NENDA KIGAMBONI AKHEENATO_RECORDS KWA #LIL_GHETTO HAWA WAKO VIZURI KWA MIXING
WALINIDUFULIA NGOMA ZANGU FULESHI TUU!!!
 
Mi niko dodoma nataka nifanye Vocal huku then naituma kwa email anaimalizia huko
 
Mi niko dodoma nataka nifanye Vocal huku then naituma kwa email anaimalizia huko
[emoji121]
HIVI DODOMA HAKUNA STUDIO ILIYOKUWA SERIOUS??

KAMA HAIPO NINA WASIWASI KUHUSU KUITUMA HATA PRODUCERS WA DAR WATAKUSUMBUA,
WAMESHAZOEA KUWAFUATILIA SANA.

SASA IKIWA MNAWASILIANA KWA SIMU TUU WATAKUSUMBUA SANA HAWA.
 
[emoji121]
HIVI DODOMA HAKUNA STUDIO ILIYOKUWA SERIOUS??

KAMA HAIPO NINA WASIWASI KUHUSU KUITUMA HATA PRODUCERS WA DAR WATAKUSUMBUA,
WAMESHAZOEA KUWAFUATILIA SANA.

SASA IKIWA MNAWASILIANA KWA SIMU TUU WATAKUSUMBUA SANA HAWA.
Studio zipo ila maproducer hawako serious nilishafanya studio kubw zote za hapa dom lakini bado
 
Studio zipo ila maproducer hawako serious nilishafanya studio kubw zote za hapa dom lakini bado
[emoji121]
SASA HAPO KUNA CHANGAMOTO,

INGAWA SIO KWA UHAKIKA SANA,
JARIBU KUMTAFUTA JAMAA WA KUITWA [HASHTAG]#SIJAMOCKER[/HASHTAG],
HUYU NI PRODUCER PIA NI RAPPER.

NAVYOMWONA NI SIMPLE (HANA MAKUU) NA NI MWELEWA.

INGIA YOUTUBE,
CHEKI KAZI ZAKE,
UKIJIRIDHISHA MTAFUTE.
 
[emoji121]
SASA HAPO KUNA CHANGAMOTO,

INGAWA SIO KWA UHAKIKA SANA,
JARIBU KUMTAFUTA JAMAA WA KUITWA [HASHTAG]#SIJAMOCKER[/HASHTAG],
HUYU NI PRODUCER PIA NI RAPPER.

NAVYOMWONA NI SIMPLE (HANA MAKUU) NA NI MWELEWA.

INGIA YOUTUBE,
CHEKI KAZI ZAKE,
UKIJIRIDHISHA MTAFUTE.
Poa poa boss
 
[emoji121]
PRODUCERS WENGI WANAKUWA BIZE NA KAZI ZA WASANII MAARUFU AMBAZO MOSTLY WANALIPWA HELA NDOGO AU WANANUNULIWA BIA TU KUZIFANYA,
HALAFU UPCOMING ANAYELIPA HELA WANAMSUMBUA.

KAMA TRACK YAKO NI YA RAP NENDA SEGEREA KWA #PRODUCER_AMBAH,
NA KAMA NI BONGOFLEVA YA WABANA PUMB*** NENDA KIGAMBONI AKHEENATO_RECORDS KWA #LIL_GHETTO HAWA WAKO VIZURI KWA MIXING
WALINIDUFULIA NGOMA ZANGU FULESHI TUU!!!
Amba anachaji bei gani? Kazi alizofanya ni zipi?
 
Amba anachaji bei gani? Kazi alizofanya ni zipi?
[emoji121]
KWENYE BEI ITATEGEMEA NA BARGAINING POWER YAKO.

KAZI ZA ROHO7 ZIMETENGENEZWA NA AMBAH NA BAADHI YA KAZI ZA HUSSEIN MACHOZI ZILITENGENEZWA NA AMBAH NA KIDBWAY.
 
Back
Top Bottom