mwaminifuhalisi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 329
- 412
- Thread starter
- #21
Kwenye App hii ya welcome tumeona katika kuunda interface tumetumia drag na drop, lakini kuna namna namna nyingine ya kuunda hizo interface kwa kutumia xml files, kila ambacho tulichokuwa tunakiweka kwenye huwa kinatokea kwenye screen katika muundo text (xml codes), angalia jinsi interface hiyo iliyo katika xml file.
1. ili kupata kuona xml text, ukiangalia kwa chini kuna sehemu zimeandikwa text na design, utachagua text
uandishi wa xml files kwa ajili ya android app huwa katika muundo
Hii ni object maalumu kwa ajili ya text, imekuja moja kwa moja kwa sababu tulidrag text, lakini unaweza kuandika na ukiifuta ile text ya kwenye screen itaondoka pia.
Hii ni kwa ajili ya upana ambapo contents zinaweza kuanza kuwekwa wrap_content kwa maana basi umetaka upana wa contents umatch na size ya screen. pia unaweza kuweka vipimo halisi kama dp.
Mengine unaweza kuyaelewa kuangalia. Tutajua zaidi kadri tutakavyosonga mbele.
1. ili kupata kuona xml text, ukiangalia kwa chini kuna sehemu zimeandikwa text na design, utachagua text
uandishi wa xml files kwa ajili ya android app huwa katika muundo
Code:
android:property_unayotaka_kutumia=thamani_ya_hiyo_property
Code:
TextView
Code:
layout_width
Mengine unaweza kuyaelewa kuangalia. Tutajua zaidi kadri tutakavyosonga mbele.