Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,230
- 1,199
Habarini wana jamvi,
Najua wote tuna kila sababu yavkumshukuru Mungu kwakutupa uhai na afya njema japo kuna wenzetu ambao wako na taabu na shida mbali mbali Mungu wetu muaminifua atawaponya.
Ok let me start, mimi ni mmoja wa watu wanaotumia drone karibu kila siku kwa sehemu ya kazi zangu na project zangu maeneo mbali mbali ya nchi na sehemu chache za nje ya mipaka yetu , yote ni sababu ya project ninazofanya inanilazimu drone iwe sehemu ya kazi nizifanyazo.
Naipenda kazi yangu, napenda drone, napenda kurusha drone, huwa na enjoy mbali na kuwa sehemu ya kazi pia ni sehemu ya entertainment kwangu. Kwahyo basi wewe kama una swali waweza uliza chochote kuihusu drone.
Karibu.
Najua wote tuna kila sababu yavkumshukuru Mungu kwakutupa uhai na afya njema japo kuna wenzetu ambao wako na taabu na shida mbali mbali Mungu wetu muaminifua atawaponya.
Ok let me start, mimi ni mmoja wa watu wanaotumia drone karibu kila siku kwa sehemu ya kazi zangu na project zangu maeneo mbali mbali ya nchi na sehemu chache za nje ya mipaka yetu , yote ni sababu ya project ninazofanya inanilazimu drone iwe sehemu ya kazi nizifanyazo.
Naipenda kazi yangu, napenda drone, napenda kurusha drone, huwa na enjoy mbali na kuwa sehemu ya kazi pia ni sehemu ya entertainment kwangu. Kwahyo basi wewe kama una swali waweza uliza chochote kuihusu drone.
Karibu.