uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,221
- 9,226
Nimechukua mda si mrefu ni 8000Mkuu hii sensodyne ni Tsh Ngapi?
Nimechukua mda si mrefu ni 8000Mkuu hii sensodyne ni Tsh Ngapi?
Hata aloe nayo iko poa sana ile ya 1000 hakikisha tu mswaki wako si ule uliochokaNa mimi tena ya kijani
Upo lakini kamanda? Raha ya kusoma namba ni chorus kama ile ya darasa kwa kwanza kwa style ya 'shkamoooooooooooo mwaaaaaaaaaalimu'!
Hata ww usiyekuwa wa Arusha yanaweza yakabadilika ghafla na ukakamatwa vilevilehii nzuri sana watoto wa Arusha utawakamata sana si unajua yale meno yao.
Hapana hiyo dawa ni nzuri sana sema kuipata yenyewe ni issue nyingi zimechakachuliwaDr kanishauri nitumie SENSODYNE, cha ajabu humu inapondwa! Daah.
Jama co base?Majivu ni acid yanakwangua meno. Lazima yang'ae
Sasa hivi 17000Sensodyne hovyo! Aloe vera tumia 15,000
Mjohoro wenyewe tu ni dawaAcheni mautani basi,mm natumia mswaki Wa mjohoro mwaka Wa 9 sasa bila dawa za meno na meno yapo fresh tu,
Tumia madeoral hutajutiaWakuu mimi binafsi natumia colget Advanced whitening kina ujazo wa 75mil si nyingi ila bei yake ni Tsh. 4,500 hii nzuri sana watoto wa Arusha utawakamata sana si unajua yale meno yao.
Je wewe unatumia Dawa gani? ili niweze ku shift kama ni nzuri zaidi! kuna hizi wanaziita sensodine naona zipo za aina nyingi na sijazikubali ni vigumu kugundua feki.
NB: Make sure Colget unayotumia made in Thailand au Brazil.