SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,671
- 2,028
Tumechelewa lakini bado hatujachelewa, mambo yanazini kunoga Otoman Empire, Basi hii ni Thread yetu maalum wa kupashana kinachoendelea kwenye Tamthilia hii inayorushwa na kituo cha Azam media kila siku ya jumatatu hadi ijumaa saa nne usiku na marudio huwa ni saa saba usiku na saa tatu asubuhi kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app