Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,712
kumbe wewe ni modHatutafuta uzi wako mkuu kuwa amani
Mkuu mimi sio Mod aseehMod joseverest wap upo kuna mutu inataka uzi yake ifutwe
Mwanamme anaweza, kupata mwanamke asietulia, vijana wa leo, wanaita "Kicheche" na mwanamke, anaweza kupata Mwanaume, gumegume. A.k.a. "Malaya" Imooooooo.... Mods, chonde chonde uzi wangu, wakuu msiufute....
Mkuu wema, awana maisha.Mi ua nashaangaa wema wengi ua wanaokota vibovu, halafu hata hawastuki, ivi ni aje apa?
Hiyo username yako, tu inajieleza yenyewe hapo mkuu, sasa mie nitaweza wapi, mabishano na wewe, tuendelee na, mengine tusitoke nje ya mada.Kwa hiyo unataka kumaanisha nini, maana bado sijaelewa nia yako.
Uchochezi huu, mkuu.Mod joseverest wap upo kuna mutu inataka uzi yake ifutwe
Lkn, ngumu kumeza mkuu.hapo ngoma draw
Vuta taswila, picha itakuja mkuu.Weka na picha
Mie ndio nasikia kwako, hayo mkuu.Kumbe wanaume wengine wana kitchen party! Nimebugi njia............
Ngoja jukwaa liwe tamMkuu mimi sio Mod aseeh