Hivi msimamizi wa kituo ana uwezo wa kuanzisha zoezi la kupiga kura bila ya kuwepo mawakala?
Anaweza kinacho takiwa kuwajulisha wapiga kura.Kituo moja nilikopigia kura msimamizi alipoona muda umefika na wasimamizi hawajafika aliendelea na zoezi kwa kuleta nje mabozi ya kuhifadhia kura na kutujulisha kuwa zoezi linaanza pamoja na kwamba mawakala hawajafika,na baada ya kama 25minutes mawakala wa chama fulani wakashushwa na daladala.