TanzActive
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 367
- 73
- Thread starter
- #41
Nilikuwa wa kwanza kituoni hapo na walipoitwa na msimazi wa kituo wakajitambulisha nilikuwepo na nilisikia mazungumzo yaouliwezaje kuwatambua wakati hawana ID za kimavazi au hao walikuwa nazo??
Anyway, mi nimeshapiga kura na nikiwa mle kituoni ukatokea utani fulani nikamsikia wakala mmoja akisema mwaka huu HADUNGANYIKI!!
na mm nikaungana nao kwenye tabasamu, baada ya hapo nikaenda pale kwenye kichumba nikamsalimu Dk wa ukweli na vijana wake nikakunja karatasi zangu na kuzitumbukiza sehemu stahili na tabasamu langu pana nikawapishe wengine nao watoe hukumu..