Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,701
damu ya madogo wataitoa wapi..
Hilo ndilo swali langu hata mimi. Iwapo ili mtu apate dawa ya kutokuzeeka lazima awekewe dawa ya mtoto, je itabidi watoto wawe wanazalishwa kwa wingi ili wawe wanakaushwa damu wapewe wasiotaka kuzeeka????!!!!