Leo Baba yake Mxolisi amejua ameambiwa na Afande mnoko Mabuza alichomfanya mwanae kambeba kwenye Buti la gari akimsindikiza na kichapo tunasubir tujue nini kitaendelea...pastor ametoka lakini Ayanda still ameshikilia bendera akitaka penzi la Nombuso ni kama kamla denda lakini si unajua ITV kukatisha