hapana nosi hakuwa na upweke bali alikua na hasira maana mk alimuua mpambe wa yule jamaa aliekuwa royal customer nadhan sasa mxo,mk na mamayake wanamficha sasa akaghadhabika akamfuata na mastermind nae akasema hajui vilevile,
nosi akabaki amechukia ndio master akamuita akakaa, ndio master akupoteza nafasi....akakunyang'anya tonge mdomoni😅
Its Pancho