Uzalendo wa Gwajima umevuka vipimo

Uzalendo wa Gwajima umevuka vipimo

Kawe Alumni

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2019
Posts
8,686
Reaction score
12,013
20201017_084618.jpg


Huyu ndiye mtu tuliyemhitaji
Anafurahi na sisi na analia na sisi

Kawe iliteswa na wakora wa kisiasa kwa miaka kumi

Asante Gwajima unawapa heshima wana kawe
You deserve to be a leader, kura zote za ubunge kawe ni kwako
 
View attachment 1602846

Huyu ndiye mtu tuliyemhitaji
Anafurahi na sisi na analia na sisi

Kawe iliteswa na wakora wa kisiasa kwa miaka kumi

Asante Gwajima unawapa heshima wana kawe
You deserve to be a leader, kura zote za ubunge kawe ni kwako
Pia kuna mwanamama mmoja aliwapigia magoti wapiga kura ili wampe kura za ndio.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Hana tofauti na alie osha vyombo vya mamantilie. Jana nimeona picha cha Magu akisonga Ugali stupid kweli🤣🤣


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Njoo nikuuzie dodoki huku hyo ni mchafu sana huwezi kumwosha kizembe hivyo
 
SIO LILE GWAJIMAA ALOMSHUSHIA KONDOO...UNOO..O...O...OO..LINAWAOKOA....
 
Kwa sisi wenyeji wa Kawe tunamjua kuwa huyu ni msanii tu hana lolote
 
View attachment 1602846

Huyu ndiye mtu tuliyemhitaji
Anafurahi na sisi na analia na sisi

Kawe iliteswa na wakora wa kisiasa kwa miaka kumi

Asante Gwajima unawapa heshima wana kawe
You deserve to be a leader, kura zote za ubunge kawe ni kwako
Na pale darajani mnapopaita flyover, alienda mzalendo gani?
 
Back
Top Bottom