PreGE2025 UWT yafanya dua ya shukrani kwa miaka 4 ya Rais Samia

PreGE2025 UWT yafanya dua ya shukrani kwa miaka 4 ya Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,786
Reaction score
7,567
Wakuu,

1743328738528.png

Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) imefanya Dua Maalum ya Shukrani na Kumuombea Rais Samia kwa Uongozi wake mahili katika kipindi cha Miaka Minne ulioleta maendeleo na neema kwa Taifa la Tanzania na kuongozwa na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ndg. Mustafa Rajab katika Msikiti wa Gaddafi Jijini Dodoma

Pia soma: Pre GE2025 - UVCCM Singida wafanya dua ya kumuombea Rais Samia

1743328781375.png

Dua hiyo Maalum imeandaliwa na Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania chini ya Mwenyekiti wake Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) na Kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali Mkoa wa Dodoma. Ambayo ilienda sambamba na hafla ya Iftar kwa makundi mbalimbali wakiwemo Wajane, Watoto yatima, Madrasat na waumini wa Dini ya kiislam.

1743328795602.png

Akizungumza baada ya Dua hiyo, Mwenyekiti Chatanda ametoa wito kwa Watanzania hususani Wanawake kuendelea kumuunga Mkono Rais Samia kutokana na dhamira yake Njema ya kuwaletea Watanzania maendeleo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

1743328811315.png

Mwenyekiti Chatanda amesema, Rais Samia ameimarisha Sekta ya Afya kwa kujenga na kuboresha vituo vya Afya, Zahanati na Hospitali za Wilaya na za Rufaa pamoja na uwepo wa Vifaa Tiba sanjari utekelezaji wa miradi mikubwa katika sekta ya nishati, usafirishaji, Maji pamoja na Elimu"

1743328829328.png

Ameongeza kuwa UWT ina kila sababu ya kumshukuru na kumuombea Rais kwa kazi hizo nzuri. Kadharika ametoa wito wa tujitokeza Kwa wingi Kushiriki Uchaguzi Mkuu Mwezi Oktoba 2025 kumchagua na kumpa ushindi wa kishindo Mpendwa wetu Rais Samia"
 
Screenshot_20250330-132057.jpg

Hivi hizi Pete zenye macho makubwa Huwa za kazi gani?
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Uchawa umetutoa kabisa katika mstari.
Ok let us keep quiet kwa maana hii ni sasa ni problem nadhani wakati wa prof shivji urudi ofisini utufanyie research, why are we here to day
 
Wakuu,


Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) imefanya Dua Maalum ya Shukrani na Kumuombea Rais Samia kwa Uongozi wake mahili katika kipindi cha Miaka Minne ulioleta maendeleo na neema kwa Taifa la Tanzania na kuongozwa na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ndg. Mustafa Rajab katika Msikiti wa Gaddafi Jijini Dodoma

Pia soma: Pre GE2025 - UVCCM Singida wafanya dua ya kumuombea Rais Samia

View attachment 3287752
Dua hiyo Maalum imeandaliwa na Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania chini ya Mwenyekiti wake Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) na Kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali Mkoa wa Dodoma. Ambayo ilienda sambamba na hafla ya Iftar kwa makundi mbalimbali wakiwemo Wajane, Watoto yatima, Madrasat na waumini wa Dini ya kiislam.

View attachment 3287753
Akizungumza baada ya Dua hiyo, Mwenyekiti Chatanda ametoa wito kwa Watanzania hususani Wanawake kuendelea kumuunga Mkono Rais Samia kutokana na dhamira yake Njema ya kuwaletea Watanzania maendeleo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3287754
Mwenyekiti Chatanda amesema, Rais Samia ameimarisha Sekta ya Afya kwa kujenga na kuboresha vituo vya Afya, Zahanati na Hospitali za Wilaya na za Rufaa pamoja na uwepo wa Vifaa Tiba sanjari utekelezaji wa miradi mikubwa katika sekta ya nishati, usafirishaji, Maji pamoja na Elimu"

View attachment 3287756
Ameongeza kuwa UWT ina kila sababu ya kumshukuru na kumuombea Rais kwa kazi hizo nzuri. Kadharika ametoa wito wa tujitokeza Kwa wingi Kushiriki Uchaguzi Mkuu Mwezi Oktoba 2025 kumchagua na kumpa ushindi wa kishindo Mpendwa wetu Rais Samia"
Nimeona aibu mimi
 
Hawa mapumbavu badala yajiombee yatoke kwenye umasikini na laana yanaombea mtu ambaye amefanikiwa atalishwa, kutibiwa, kusafiri, ulinzi bure yeye na familia ake maisha yake yote hapa duniani
 
Back
Top Bottom