Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,377
- 271,799
Ikiwa leo ni siku ya Wanawake Duniani, ambako wamama wengi wanaadhimisha siku hii kwa shamra shamra, makongamano na mambo kadha wa kadha, nimejitahidi kuangaza huko na kule ili kuona kama wanawake wa CCM wanaoitwa UWT walipokusanyika kuadhimisha siku hii lakini sijawaona.
Pamoja na kwamba UWT ni kama taasisi ya wamama wazee, lakini bado hao wazee ni sehemu ya wanawake wa dunia, hawakutakiwa kubaki majumbani, walipaswa kujitokeza hadharani.
Kama kuna aliyewaona mahali wanaadhimisha siku hii, anionyeshe ili taarifa zao tuziweke hapa JF.
Pamoja na kwamba UWT ni kama taasisi ya wamama wazee, lakini bado hao wazee ni sehemu ya wanawake wa dunia, hawakutakiwa kubaki majumbani, walipaswa kujitokeza hadharani.
Kama kuna aliyewaona mahali wanaadhimisha siku hii, anionyeshe ili taarifa zao tuziweke hapa JF.
