Uwizi mwingine wa tigo

zanga

JF-Expert Member
Dec 8, 2011
201
255
habari wana jamii
kwanza huduma za vifurushi zime panda, kwa mfano kile kilichokua kinauzwa 995 sasa hivi ni 999,

hiyo sio case sana, leo baada ya kuamka sikua na kumbukumbu simu yangu yenye line ya tigo nimeiweka wapi,nika i bip kwa simu ya voda, baada ya mlio kuita na kuipata nikaikata ile ya tigo, baada ya kama sekunde 5 hivi nikapata msg kutoka tigo kwamba nimetumia sekunde 6, sikuamini, nika piga tena kwa line ya voda nika ikata nikapokea text nimetumia sekunde 8,nikapiga tena na kukata nika pata text nimetumia sekunde 27,nikafanya tena nikatumia sekunde 13,ndio nime elewa sasa hivi kwamba kuna gharama ambayo anaingia mpigiwaji wa simu endapo hato ipokea ile simu na kuamua kuikata,huu ni uwizi, na kama mnavyoona hapo juu gharama zina vary, sijajua kigezo gani wanatumia,
 
Kwani bado hujamaliza shule ili uachane na mtandao wa Wanafunzi?
 
tigo weziiiiiiiiii kama jina lao lilivyo, kikwetu Tigo ni mwizi ama kibaka wa aina yoyote,
 
makubwa tena haya, tigo ndiyo mtandao wenye wateja wengi kuliko mtandao mwingine wowote tz mpaka network yao inakuwa overloaded
 
Tena wezi sana mm wameniletea sms kuwa eti nina tsh 100000 kwajili ya pona,na 200000 za bima na makato kwa mwezi sh 1500,nimeshangaa sana maana sikumbuki kujiunga na mm nina bima yangu ya afya sijui hata huu wizi inakuwaje
 
habari wana jamii
kwanza huduma za vifurushi zime panda, kwa mfano kile kilichokua kinauzwa 995 sasa hivi ni 999,

hiyo sio case sana, leo baada ya kuamka sikua na kumbukumbu simu yangu yenye line ya tigo nimeiweka wapi,nika i bip kwa simu ya voda, baada ya mlio kuita na kuipata nikaikata ile ya tigo, baada ya kama sekunde 5 hivi nikapata msg kutoka tigo kwamba nimetumia sekunde 6, sikuamini, nika piga tena kwa line ya voda nika ikata nikapokea text nimetumia sekunde 8,nikapiga tena na kukata nika pata text nimetumia sekunde 27,nikafanya tena nikatumia sekunde 13,ndio nime elewa sasa hivi kwamba kuna gharama ambayo anaingia mpigiwaji wa simu endapo hato ipokea ile simu na kuamua kuikata,huu ni uwizi, na kama mnavyoona hapo juu gharama zina vary, sijajua kigezo gani wanatumia,

Nakubali wezi kwani karibuni tu nimeweka vocha ya 1000 nikampigia mtu wa mwenye number ya Airtel nimemuuliza kitu na kunijibu hata dakika mbili haikufikq nimepata msg kuwa salio langu ni shs.4,80 :mad:
 
tigo weziiiiiiiiii kama jina lao lilivyo, kikwetu Tigo ni mwizi ama kibaka wa aina yoyote,

Bwana Mdogo January Makamba ndio wenye jukumu thru TCRA kuwadhibiti wenye makampuni ya simu wasikiuke maadili. Hawa ni lazima waekewe sheria kabambe kuzuia uwizi mdogo mdogo unaokera sana.
Yeye yuko bize kufanya kampeni makanisani ya kutaka Urais.
Kama jambo dogo kama hili linalo waumiza hasa wananchi wa kipato cha chini kinamshinda, je matatizo ya taifa zima atayaweza?
 
  • Thanks
Reactions: bdo
makubwa tena haya, tigo ndiyo mtandao wenye wateja wengi kuliko mtandao mwingine wowote tz mpaka network yao inakuwa overloaded

hao jamaa hawana wateja wengi kupita mitandao mingine sema tu labda mitambo yao ni magumashi
 
habari wana jamii
kwanza huduma za vifurushi zime panda, kwa mfano kile kilichokua kinauzwa 995 sasa hivi ni 999,

hiyo sio case sana, leo baada ya kuamka sikua na kumbukumbu simu yangu yenye line ya tigo nimeiweka wapi,nika i bip kwa simu ya voda, baada ya mlio kuita na kuipata nikaikata ile ya tigo, baada ya kama sekunde 5 hivi nikapata msg kutoka tigo kwamba nimetumia sekunde 6, sikuamini, nika piga tena kwa line ya voda nika ikata nikapokea text nimetumia sekunde 8,nikapiga tena na kukata nika pata text nimetumia sekunde 27,nikafanya tena nikatumia sekunde 13,ndio nime elewa sasa hivi kwamba kuna gharama ambayo anaingia mpigiwaji wa simu endapo hato ipokea ile simu na kuamua kuikata,huu ni uwizi, na kama mnavyoona hapo juu gharama zina vary, sijajua kigezo gani wanatumia,

Kwa kukusaidia zaidi ni kwamba tigo na voda are brothers, wengine tulishawahama hao wote siku nyingi, mtandao ulio wa kweli ni airtel, sanasana ukiona wahitaji line ya ziada basi panda jahazi vuka bahari nenda kwa wale jamaa wanaosema wanatawaliwa na mkoloni mweusi, bei zao ni nafuu sana nao
 
TIGO ni waizi wakubwa, mimi niliongea na costumer care wa tigo nikimwambia ninyi n wezi, mukianzisha kijiofa kidogo tu dnia nzima itajua, utasikia pata dk 15 kwa sh 475 au pata min kabang dk 25 kwa sh 600 tu. ss kwenye hivyo vidakila vyenu mumevipunguza kimya kimya kwa bei ile ile dk15 had 12, na hili kwa nn musitutangazie??? na ukinuna kifurushi kwa tigo pesa, tigo-tigo dk 20 kwa sh 475 kwa sasa wanakupa dk 12 kwa sh495
 
makubwa tena haya, tigo ndiyo mtandao wenye wateja wengi kuliko mtandao mwingine wowote tz mpaka network yao inakuwa overloaded

si kweli
kwamba ni mtandao wenye wateja wengi tz.

Kwa mujibu wa research na takwimu kutoka TCRA Tigo ndo mtandao unaongoza kuwa na wateja wengi dar es salaam na wala sio tanzania.
 
Tena wezi sana mm wameniletea sms kuwa eti nina tsh 100000 kwajili ya pona,na 200000 za bima na makato kwa mwezi sh 1500,nimeshangaa sana maana sikumbuki kujiunga na mm nina bima yangu ya afya sijui hata huu wizi inakuwaje

hata mie wamenitumia sema zako ni nyingi tufanye mpango wa kuzitoa
 
Kwa kukusaidia zaidi ni kwamba tigo na voda are brothers, wengine tulishawahama hao wote siku nyingi, mtandao ulio wa kweli ni airtel, sanasana ukiona wahitaji line ya ziada basi panda jahazi vuka bahari nenda kwa wale jamaa wanaosema wanatawaliwa na mkoloni mweusi, bei zao ni nafuu sana nao

Hata humu unaweka Siasa? wabara
 
Last edited by a moderator:
Hata humu unaweka Siasa? wabara

Khawarizm
Kwanza polebkwa kukumbana na uharo huo,
Pana akili zingine zimejawa matobo, moja wapo ni ya hoyo mropokaji,

Isikutukue muda kufanyiza nae mjadala, vinginevyo kama huna ratiba ya kuchunga muda wako.
 
Last edited by a moderator:
habari wana jamii
kwanza huduma za vifurushi zime panda, kwa mfano kile kilichokua kinauzwa 995 sasa hivi ni 999,

hiyo sio case sana, leo baada ya kuamka sikua na kumbukumbu simu yangu yenye line ya tigo nimeiweka wapi,nika i bip kwa simu ya voda, baada ya mlio kuita na kuipata nikaikata ile ya tigo, baada ya kama sekunde 5 hivi nikapata msg kutoka tigo kwamba nimetumia sekunde 6, sikuamini, nika piga tena kwa line ya voda nika ikata nikapokea text nimetumia sekunde 8,nikapiga tena na kukata nika pata text nimetumia sekunde 27,nikafanya tena nikatumia sekunde 13,ndio nime elewa sasa hivi kwamba kuna gharama ambayo anaingia mpigiwaji wa simu endapo hato ipokea ile simu na kuamua kuikata,huu ni uwizi, na kama mnavyoona hapo juu gharama zina vary, sijajua kigezo gani wanatumia,

Wizi unaofanywa na mitandao hii ya Voda na Tigo bila
kukemewa na vyombo vya dola unadokeza uwepo wa washirika wa uhalifu huu ndani ya serikali yenyewe tena katika ngazi kubwa. Hapa dhana ya uwepo wa familia za watu maarufu kisiasa kama wanahisa katika makampuni haya unadhihirika.
Kuna tetesi kwamba licha ya Lowassa, wapo wengi tu wanaonufaika na wizi wa makampuni haya k.m. CCM, Makamba, na hata familia ya Mkulu mwenyewe!
Yasemekana CCM wanaendesha kampeni ya kukusanya fedha kwa ajili ya chaguzi za mwaka huu za serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu mwakani kupitia Tigo, Voda na makampuni kadhaa ya biashara.
Kwa hiyo si rahisi kabisa kwa serikali hii iliyosheheni vibaka kukemea au kupambana na wizi huu. Haiwezekani wafanye kufuru ya wizi namna hii na wakaachiwa wakitanua mitaani kama wenye kustahili heshima!
Binafsi nilikuwa naitumia Tigo kununulia vifurushi vya wiki lakini nimesitisha baada ya kugundua hakuna ukweli katika hiyo "unlimited" wanayoitangaza kwani utaipata siku mbili na zilizobakia zinakuwa za kusuasua, na ukiweka ya siku moja itakuwa na kasi kama masaa manne, matano na baadae mara ipatikane mara ikosekane na mara nyingine inakuwa ovyo kabisa!
Kwa kifupi Tigo na Voda ni majanga ya Taifa. Mwakani nitamuunga mkono mgombea toka upinzani atakayenadi kupambana na wezi hawa kama alivyofanya Michael Satta wa Zambia maana ni vigumu kumpata wa namna hiyo toka genge la vibaka wa CCM.
 
sio tiGO jamani ni uchaguzi wa 2014/2015.......kigumu chama cha .....................
 
Back
Top Bottom