Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,767
siku hizi kila mtu mtabiri!!! haya tutakupongeza lol!!!!
Kama aling'atuka rafikiye ambaye hawakukutana barabarani itakuwa Pinda mkuu!
Kimsingi hatuna rais, tezi dume kitu gani? Prof Lema mbona anafanyia hapo muhimbili na kesho yake wanarudi makwao na kurejea baadaye kuondoa nyuzi? Niseme tu kwamba jk ni mhuni na serekali ni ya kihuni huni tu.
Duniani hakuna mtazamo. Duniani kuna UKWELI na UONGO. Kama amesema kweli kubaliana naye. Kama amesema uongo thibitisha UKWELI.
we endelea kujipigilia make up haya tuachie sisi siyo saizi yako bibiehahahahahhaaaaaaaaaaa yule ni kiongozi wa nchi ni vyema akatibiwa ulaya kama jk N raisi wa mwanzo mbona yeye walipeleka uingereza kutibiwa akaja hapa amewekwa kwenye jokofu, hivyo viongozi wa nchi ni vyema kutibiwa juu magharibi
huyo prof lema yeye n wa hapahapa alinganishwi na kiongozi amirijeshi wa nchi ndo maana walipeleka huko nje kutibiwa, kwani angeona madudu haya walllahi angezimia
Hili naliunganisha na kauli ya Profesa wa Kichina aliposema kuwa amechoka anatamani kurudi kijijini kuchunga ng'ombe wake.
siyo kubwabwaja ni hesabu rahisi tu tatizo umeamua matusi mimi sipo huko mkuu au unadhani nimekula mlungula wa escrow hata kwa ncha siwezi fika huko parefu sana kwangu
Hah mi nilidhani una taarifa za kiintelijensia kuhusu hilo kumbe ni mahesabu yako binafsi kutokana na ripoti ya Escrow,kwa heli!
sasa unataka habari nyeti niweke humu we elewa hivyo ngoma ndiyo imeanza subiri ndani ya masaa 48 halafu nitafute
unipeleke wapi ?mabwepande !