mwakajilae
Member
- Mar 11, 2011
- 58
- 46
Kuna tetesi za kuendelea kushamiri kwa vitendo vya unyanyapaa kwa walemavu,taarifa hizi zimepatikana kutoka kwa wanakijiji anachoishi Mh Hilda Ngoye(mb) Viti maalumu CCM.,Wakazi wa Kiijiji cha Kikota katika Wilaya ya Rungwe wamemlalamikia Mh Mbunge huyo mwenye mtoto wake wa kwanza wa kiume ambaye ni mlemavu,kuendelea kumuweka ndani zaidi yamiaka ishirini sasa,kinyume na tamko la haki za binadamu,huku huyu mbunge akiwa katika chombo kiubwa cha kutunga sheria na kuwasihi watanzania kuacha kuwanyanyapaa watu wenye ulemavu kwa kuhakikisha wanakuwa sehemu ya jamii na wanapata hudumaote zilizo za msingi zinazo kidhi mahtaji yao,huyu mbunge kwake hili ni kinyume,anazungumza asiyoyatenda,sasa ni wakati muafaka wa wanaharakati kulifuatilia suala hili kwa kina,kuhakikisha wanafika kijiji cha KIkota,kata ya Kiwila wilayani Rungwe ili tuweze kumjumuisha na jamii huyu mwenzetu mtoto wa kumzaa wa mama Hilda Ngoye(mb).,tuhakikishe anahesabiwa katika sensa ya mwaka huu.
Wanakijiji cha Kikota walionyesha maskitiko makubwa juu ya hali ya mbunge huyo kumfungia mwanaye ndani ya nyumba yake kwa mudamrefu sasa.
Wanakijiji cha Kikota walionyesha maskitiko makubwa juu ya hali ya mbunge huyo kumfungia mwanaye ndani ya nyumba yake kwa mudamrefu sasa.