Uwepo wa taarifa za kutisha juu ya mbunge hilda ngoye.

TAARIFA YA UONGO NA UZUSHI
inaelekea umetumwa na chama chako cha Chadema kusambaza uongo huu na uzandiki.
Hii ni roho mbaya sana na tunakuombea na wewe ukilema ili uonje adha hiyo.

Kwanza Mama Ngoye HAKAI Kikota, anakaa kijiji cha Mapandapanda, Kiwira au Mwankenja,karibu sana na maerehemu John Mwankenja aliyeuwawa kwa visasi vya watu kama huyu anayeeneza pepo la uongo.
ULAANIWE!!!

Sasa Chama cha Chadema kinaingiaje hapa mkuu?Na wewe unaanza kuishi kwa hisia bila uhalisia!!!?
 
TAARIFA YA UONGO NA UZUSHI
inaelekea umetumwa na chama chako cha Chadema kusambaza uongo huu na uzandiki.
Hii ni roho mbaya sana na tunakuombea na wewe ukilema ili uonje adha hiyo.

Kwanza Mama Ngoye HAKAI Kikota, anakaa kijiji cha Mapandapanda, Kiwira au Mwankenja,karibu sana na maerehemu John Mwankenja aliyeuwawa kwa visasi vya watu kama huyu anayeeneza pepo la uongo.
ULAANIWE!!!

hacha kutuonesha jinsi husivyo tulia chini na kujaribu kufikiri.

Kila anaye leta mada lazima awe chadema au ccm? Hujui kuna watu humu hawako chama chochote na wanatuletea habari?

Tafadhali achilia mbali utoto wako.
 
Inategemea anamfungia kwa maana ipi, inawezekana anafanya hivyo kama njia ya kumlinda maana hali imebadilika sana siku hizi. Lakini kama anamfungia kwa njia ya Kinyanyapaa, basi hilo halitakuwa na tafsiri nyingine zaidi ya Ushirikina, na hilo litatupelekea kuanza kuhoji imekuwaje huyu mama anapata vyeo vya kisiasa mara kwa mara na kupima ufanisi wake.

HApo kwenye bold mkuu ndio hasa waafrika tulipozamia. Inawezekana kabisa amefanya hivyo ili kujipatia njia ya mkato ya mafanikio kwa gharama ya mwanaye
 
hacha kutuonesha jinsi husivyo tulia chini na kujaribu kufikiri.

Kila anaye leta mada lazima awe chadema au ccm? Hujui kuna watu humu hawako chama chochote na wanatuletea habari?

Tafadhali achilia mbali utoto wako.

Na wewe chadema au vipi?
Mnakamatiwa padogo sana!
 
Tusibishanie eneo la tukio,tubishanie uwepo ama kutokuwapo kwa tukio,huu ndyo mjadala,pia kimaadili ya mjadala,suala lolote lenye mashaka ni lazima tulijadili kwa mapana na kulifanyia uchunguzi wa kina juu ya uongo au ukweli huo.
anailikuwa huko,nimeambiwa na wanakijiji,tulijadili then tulichunguze.
Endapo taatrifa hizi zitakuwa za uongo,ntamwomba msamaha huyu mama,kwangu huyu sina haja ya kumsingizia,kwasababu sinachochote cha kumsingizia kisiasa,huyu mama hawezi kuwa na utisho wowote wa kisiasa kwangu mpaka ni msingizie,ingekuwa ni hivo ningewachafua majabari ya kisiasa mkoani mbeya kama Mwakyembe na Mwandosya ili wasikubalike machoni kwa Watanzania.Naarifu hili ili kusimamia wasio na uwezo wa kupaza sauti zao kama huyu kijana wa mama huyu
Tuchunguze ,tujadiliane.

Wewe kweli ni mmbeya wa kutupwa na unaaibisha hata jina lako na "umalafyale"

Kwanza huna uhakika eno la tukio na umerudia kutaja Kikota mara mbili katika mada yako.
Halafu huna uhakika na tukio lenyewe na unajikosha kuw utaomba radhi kma si kweli.

Sasa mimi nikisema kuna tetesi huyu Mwakajilae ni shoga na kma si kweli nitakuomba radhi , itakuwaje?
Acheni vijmaneno vya maskani yenu ya chadema, muishie huko huko na uzandiki huu.

Katubu sasa , maana kuna mtu hapo juu kakuombea ukilema nawe ufaidi matunzo!
 
Isije ikawa ndo mambo yale ya MISUKULE ili mama aendelee kupete mjengoni kwani magamba kwa kutoa kafala hawajambo. Hii inaonekana kabisa ni MSUKULE 100%
 
Lol!! Kama ni kweli basi tuna viongozi wanafiki na wahuaji wakubwa. Sasa ulemavu una shida gani? Jamani MUNGU ndio mtoaji wa vyote, tuwe makini na unyanyasaji huu.
 
hivi kweli hawa wanatetea wananchi lakini nyuma yake kuna vijimambo vya ajabu kama kweli anafanya hivyo basi tunaomba sheria ichukue mkondo ili tujue anafanya hivyo kwa sababu zipi.
 
acheni uongo, acheni kuchafuliana jamani.

Ni kweli Mh mama Ngoye ana Kijana mlemavu, ila si mtoto wake wa kwanza. Ki ukweli Mh. anamjali sana, mwezi uliopita alikuwa na kijana huyo hapa Dar.

Hayo ya kusema anamfungia ndani miaka 20 yametoka wapi? au mlitaka amuache kijana azurure barabarani bila matunzo wala uangalizi ndio mngeona mheshimiwa anajali mlemavu.

Tighten up the nuts in your brain mleta mada; hasa kwa mambo ambayo huyajui. Sio kila unaloambiwa au unalosikia unalishupalia bila kuwa na facts.

Nanyi mnaodandia bandwagon bila kujua limetoka wala linakwenda wapi, muwe mnajiuliza kwanza kupata uhakika kabla ya kuanza kulaumu na kulaani.
 
Ni kijana wa kiume,umri miaka zaidi ya 20,ni mtoto wake wa kumzaa,ni jumamosi ya wiki jana nilikuwako huko na kukutana na wanakijiji cha mbunge,nimezungumza na lika la wazee,wakanithibitishia hilo,ni ulemavu wa akili,wanakijiji wanasikitika lakini wanamuogopa mbunge kama mjuavyo mbunge anavyokuwa mfalme kijijini,binafsi sijamuona,ila wanakijiji ambao ni wazee ndiyo walio nijuza suala hilo.
Hili ni suala zito,najua hapa jamvini kuna wataalamu wa masuala mbalimbali,tuende tukalitafiti ndipo tuje kukanusha ama kusikitika tukiwa na suluhu,mbaya ni kwa mbunge kujifanya ana dunia yake inayoruhusu amnyime ubinadamu mwenzie na kumfanya kama mnyama wa kufugwa afugwaye.

Kama ni mlemavu wa akili ni busara sana kumweka chini ya uangalizi maalum kwani kumwacha azurule ovyo kuna madhara makubwa zaidi. Hivyo kuweka chini ya ulinzi maalum kusitafsiriwe kama ni unyanyasaji!
 
acheni uongo, acheni kuchafuliana jamani.

Ni kweli Mh mama Ngoye ana Kijana mlemavu, ila si mtoto wake wa kwanza. Ki ukweli Mh. anamjali sana, mwezi uliopita alikuwa na kijana huyo hapa Dar.

Hayo ya kusema anamfungia ndani miaka 20 yametoka wapi? au mlitaka amuache kijana azurure barabarani bila matunzo wala uangalizi ndio mngeona mheshimiwa anajali mlemavu.

Tighten up the nuts in your brain mleta mada; hasa kwa mambo ambayo huyajui. Sio kila unaloambiwa au unalosikia unalishupalia bila kuwa na facts.

Nanyi mnaodandia bandwagon bila kujua limetoka wala linakwenda wapi, muwe mnajiuliza kwanza kupata uhakika kabla ya kuanza kulaumu na kulaani.

Asante mkuu kwa kuweka wazi hali yenyewe.
Kuna wana JFChadema , na wasio na akili sana wanapenda kumwaga nyongo hata katka uongo uliodhahiri.

Wengine ni wachangiaji waxuri tu, lakini badala ya kutumia akili, hisia zao za kijinga zinawatawala.

Hapo nyuma UONGO wa mto mada umeonyeshwa dhahiri, lakini kwa malengo yasiyo wazi , wana JF Chadema wanaendeleza ujinga huu.
Kijiji alichotaja mtoa mada na habari yenyewe isiyo na source ni utata mtupu, na sasa mwana JF Chadema mjinga mjinga anadandia hoja kwa kusupport bila kupata ufafanuzi toka kwa mto mada.

Kuna maana moja tu-character assasination, na wametumwa kufanya hivyo.

CHADEMA hamuwezi kukonga nyoyo za watu kwa upuuzi huu usuo na ukweli wowote.

CHDEMA wanajidai watu wa Mungu lakini wanashabikia uongo,sifa kuu ya yule Mwovu.
Kama ndio mlengo wa yajayo kwa CDM basi tutarajie machafu zaidi kutoka CDM.
 
TAARIFA YA UONGO NA UZUSHI
inaelekea umetumwa na chama chako cha Chadema kusambaza uongo huu na uzandiki.
Hii ni roho mbaya sana na tunakuombea na wewe ukilema ili uonje adha hiyo.

Kwanza Mama Ngoye HAKAI Kikota, anakaa kijiji cha Mapandapanda, Kiwira au Mwankenja,karibu sana na maerehemu John Mwankenja aliyeuwawa kwa visasi vya watu kama huyu anayeeneza pepo la uongo.
ULAANIWE!!!

binafsi nina uhakika Mh. Hilda Ngoye ana mtoto mlemavu. Thread hii imenikumbusha miaka hiyo wakati tupo sekondari.. maana mojawapo wa watoto wake aitwaye Eliza alishatuambia kuwa ana kaka yake ambaye ni mlemavu wa akili-- ( Elizabeth Ngoye - Tanzania | LinkedIn ). kwa hiyo upande mmoja thread hii inasema ukweli katika misingi ya kuwa familia hiyo ina mtoto mlemavu. kwa upande wa kufungiwa ndani au kutendewa kinyume na mategemeo hilo sijui. ninalollijua ni kuwa Eliza Ngoye ana ndugu yake ambaye ni mlemavu. Pia huyu eliza ana mdogo wake mwingine anaitwa Richard (huyu siyo mlemavu).

kinachotakiwa ni kutoa ushauri kwa mzazi huyu (mama Ngoye) kuhusu jinsi ya kumhudumia mtoto wake huyu kama yaliyosemwa na mleta mada kuhusu anavyofanya kwa mtoto wake ni kweli. very recently nimeona katika kipindi cha TBC kuhusu mama mlemavu alivyokuwa anashauriwa jinsi ya kuwahudumia watoto wake zaidi ya watatu ambao ni walemavu.

tukumbuke kuwa wazazi walio wengi hatujui jinsi ya kuishi na kuhudumia mtoto mlemavu - hasa mwenye matatizo ya kiakili. kinachotakiwa kufanyika ni kuwa na wataalamu wa kutuelemisha katika eneo hili.

ahsanteni.
 
Asante kwa taarifa lakini ni walemavu wangapi ambai viongozi wanawaficha? Na je ulemavu wao ni wa asili au ni mambo ya ..............
 
Imekaa kiumbea zaidi.

Ni kweli iko kiudaku zaidi. ila masuala kama haya lazima yaanze na umbeya ndipo wahusika hupata taarifa na kuzifanyia kazi. Mawasiliano haya yaweza saidia
HQ – Justice Lugakingira House
Kijitonyama, Behind Institute for Social Work
P.O. Box 75254
Dar es Salaam
Tanzania
Tel: +255 22 2773038/48
Fax: +255 22 2773037
E-mail: lhrc@humanrights.or.tz Website: www.humanrights.or.tz Arusha Sub-Office: Engira Road, Plot No. 48 P. O. Box 75254 Arusha Tel: +255 27 2544187 E-mail: lhrcarusha@humanrights.or.tz Legal Aid Centre – Justice Mwalusanya House Isere St. Kinondoni P. O. Box 79633 Tel: +255 22 2761205/2761215 Fax: +255 22 2761219 E-mail: legal@humanrights.or.tz
Tanzania Women Lawyers Association

con_address.png
Ilala Shariff Shamba
Plot No.33
P.O.Box 9460
Dar es Salaam
Tanzania
Zip +255
Tanzania

con_tel.png
+255 22 2862865
 
Back
Top Bottom