Nani kathibitisha hicho kifo? Wewe ni msemaji wa jeshi la
Polisi? Waache polisi waongee wao wenyewe. Huonda marehema alimezwa na mamba akiwa bafuni anaoga.
Au umesahau risasi iliyo mpiga Akwilina ilivy Rica juu, kisha ikaanza kufuata main road hadi ikaisubiri daladala kituoni, na daladala lilipofika ikamfuata Akwilina