Wisdom Flag
Member
- Oct 16, 2018
- 28
- 18
Kwa uzoefu nilio nao baada ya kusaidia kukuza moja ya biashara inayojishughulisha na upigaji picha naweza kukupa ushauri kama ifuatavyo:Habari zenu viongozi.......nina shida moja qa wale ambao wanajua vizur kuhusu swala la upigaji picha na vit vingine kam hivyo naomben mnisaidie hata qa ushauri tu
Nilikiwa nina wazo la kuinvest katika upigaji picha chuon,naomba mnisaidie vifaa vya msingi kuwa navyo ni vipi na bei zake ikiwezekan,camera gan itanifaa as beginner,pia nijue changamoto ambazo walionitanguliw huw zinawakabili katik idea hii.
Bajet niliyoipanga ni 1.2m
pia nilkiwa nahitaji kutengeneza simu na computer qa mazingira hayo japo qenye japo cjaendea darasan ila nina viidea fulan kuhusu simu na computer
Nashukuru sana kiongoz pia naomba kuuliza kuhusu lens .....ni namna gani ya kuchagua lens ambayo ni nzuri mnaangalia vigezo ganiKwa uzoefu nilio nao baada ya kusaidia kukuza moja ya biashara inayojishughulisha na upigaji picha naweza kukupa ushauri kama ifuatavyo:
Kwa kuanzia unahitaji vifaa pamoja na ujuzi mzuri wa kupiga picha pamoja na kuziedit au retouch kama wanavyosema wenye fani yao. Siku hizi kuna kozi nyingi kupitia FreeCourseWeb au Udemy za namna au kujifunza photography. Alternatively kama huna ni vyema ukajitolea au kufanya kibarua ili kupata uzoefu na ujuzi zaidi.
Pili baada ya kupata uzoefu na ujuzi ni vyema ukatafuta vifaa vya kuanzia ikiwemo camera ambayo either itakuwa DSLR(digital single lens reflex) au mirrorless pamoja na baadhi ya lenses japo zingine unaweza kukodi, laptop au computer kwa ajili ya kutunza na kedit kazi zako, storage media kama memory cards na hard drive, tripod kama utahitaji, speedlite na accessories nyingine kulingana na mahitaji.
Tatu ni kuidentify soko lako na uhitaji wake wa huduma. Na hapa ndipo wapiga picha wengi hufuata mkumbo sana na kuchezea za uso, kwa sababu wengi huongeza demand kwenye market husika na kupelekea bei kushuka au kuwa sawa na bure hivyo kuingia hasara ambayo ingeepukika kirahisi. Mfano kwa huko chuoni unaposema ni mara chache sana utapata projects serious za kukuingizia pesa na pia kazi zake ni za msimu( hususani kipindi cha mahafali).
Hivyo kwa ushauri wangu ni vyema ukatafuta market niche ambayo itakupa flexibility ya kuingiza pesa na kufurahia kazi yako kwa mfano product photography kwa biashara mbalimbali, architecture photography, landscape photography, photojournalism, still life na zinginezo nyingi
Pia ushauri mkubwa kuliko wote ni kujitahidi kwa kiasi kikubwa kutumia nguvu ya stori katika picha zako. Hii itapelekea kazi zako kuwa tofauti na wengine
Inachukua muda gan kiongoz kusomea hiyo cozApo kwenye simu na PC unaweza kusema unaviIdea ila kiukweli unajua vichache sanaa itabidi urudi darasani DIT au VETA upate cheti cha ufundi
''Vifaa'' muhimu kabisa kwenye biashara ya upigaji picha ni uzoefu na ujuzi.Habari zenu viongozi.......nina shida moja qa wale ambao wanajua vizur kuhusu swala la upigaji picha na vit vingine kam hivyo naomben mnisaidie hata qa ushauri tu
Nilikiwa nina wazo la kuinvest katika upigaji picha chuon,naomba mnisaidie vifaa vya msingi kuwa navyo ni vipi na bei zake ikiwezekan,camera gan itanifaa as beginner,pia nijue changamoto ambazo walionitanguliw huw zinawakabili katik idea hii.
Bajet niliyoipanga ni 1.2m
pia nilkiwa nahitaji kutengeneza simu na computer qa mazingira hayo japo qenye japo cjaendea darasan ila nina viidea fulan kuhusu simu na computer
Inategemea na matumizi na pia aina ya camera utakayotumia Mkuu, ila generally utatumia standard lens (24-70mm), 18-55mm, 50mm kwa ajili product photography na 70-200mm kwa kuanziaNashukuru sana kiongoz pia naomba kuuliza kuhusu lens .....ni namna gani ya kuchagua lens ambayo ni nzuri mnaangalia vigezo gani