Sir mtafutaji
Member
- Feb 27, 2025
- 8
- 9
Habari wadau wa UTT,
Hivi kwa wale wenye uzoefu ukiwa umewekeza kiasi cha shilingi Milioni 2 na laki moja jikimu fund utapata kiasi cha shiling ngapi kwa kila miezi 3 yaani quoter 1, quoter 2, quoter 3 na quoter 4?
na je hicho kiwango huwa kinawekwa muda gani mfano miezi mitatu ya mwanzo bimana mwezi wa kwanza hadi wa tatu wataweka lini kati ya hiyo miezi ni mwishoni mwa miezi au mwishoni?
Hivi kwa wale wenye uzoefu ukiwa umewekeza kiasi cha shilingi Milioni 2 na laki moja jikimu fund utapata kiasi cha shiling ngapi kwa kila miezi 3 yaani quoter 1, quoter 2, quoter 3 na quoter 4?
na je hicho kiwango huwa kinawekwa muda gani mfano miezi mitatu ya mwanzo bimana mwezi wa kwanza hadi wa tatu wataweka lini kati ya hiyo miezi ni mwishoni mwa miezi au mwishoni?