sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Serikali ya jamuhuri ya muungano wa tanzania,kupitia mamlaka ya mapato tanzania(TRA),kwa kushirikiana na BASATA,Bodi ya Filamu Tanzania(TFCB),chama cha hakimiliki na hakishiriki Tanzania (COSOTA) na wizara ya habari,vijana,utamaduni na michezo inapenda kutoa taarifa kwa wasanii wote hapa nchini hasa wale wa tasnia za filamu na muziki,wakuzaji sanaa(promoters)wazalishaji(producers),waagizaji (importers),wasambazaji(distributors) na umma wote kwa ujumla kuhusu kuazishwa kwa utaratibu mpya wa uwekaji wa stampu maalum kwenye bidhaa za filamu na muziki kuanzia mwezi januari,2013.