Zogoo da khama
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 639
- 611
Wanabodi mliowazoefu wa magari hasa gari ndogo za binafsi naomba mnijulishe
A) Gari ndogo inapaswa kuwekwa maji baada ya muda/siku ngapi?
B) Coolant zipo ndogo na kubwa za ltr 1 kila baada ya siku ngapi unaweka na unaweza kuchanganya vyote kwa wakati mmoja yaani coolant imeisha na ujazie maji.
Na kwa safari ndefu za mikoani Arusha nashaurije kuhusu swala la maji/coolant niweke baada ya km ngapi. Naomba msaada wenu ule msimu wetu wa hija za kwetu hauko mbali.
A) Gari ndogo inapaswa kuwekwa maji baada ya muda/siku ngapi?
B) Coolant zipo ndogo na kubwa za ltr 1 kila baada ya siku ngapi unaweka na unaweza kuchanganya vyote kwa wakati mmoja yaani coolant imeisha na ujazie maji.
Na kwa safari ndefu za mikoani Arusha nashaurije kuhusu swala la maji/coolant niweke baada ya km ngapi. Naomba msaada wenu ule msimu wetu wa hija za kwetu hauko mbali.