Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
Ni heri kuuliza kiungwana suala linalokutatiza bila kuleta 'dharau' kwa watu wengine!
Ona sasa!
Ona sasa!
Tunawaomba wanasheria wetu tumieni elimu yenu kutujuza watanzania tusiojua Sheria Kwa matukio ya kisheria.ZEC ilifuta uchaguzi Wa Zanzibar lakini tukashangaa kura za urais zilihesabiwa wakati wapiga kura ni wale wale ambao inasemekana kulikuwa Na dosari.Waziri Mkuu kathibitishwa Na bunge bila wabunge kutoka Zanzibar.Jana Mh.Magufuli kamwapisha Dr.Mwinyi kuwa Waziri Kwa kuwa in mbunge toka Zanzibar wakati Zanzibar uchaguzi ulifutwa.Swali he in halali Kwa Waziri Mkuu kuthibitishwa Na bunge bila wabunge Wa Zanzibar?Je ni halali Kwa Dr.Mwinyi kuwa Waziri wakati Zanzibar hakuna mbunge Kwa maana ya uchaguzi kufutwa? Tunaomba ufafanuzi wenu wanasheria wetu.
Issa michuzi alipost juzi mama mmoja mwanasheria akikata mzizi Wa fitna kuhusu NEC na ZEC. Google "tofauti kati NEC na zec" kisha msikilize Hugo mama. utaelewa
Wadau kuna swali linaniumiza kichwa juu ya uteuzi wa Dr. Huseein Mwinyi kuwa Waziri katika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dr. Hussein Mwinyi ni mwakilishi toka Zanzibar ambapo Uchaguzi umefutwa...kwa tafsiri ya kisheria uwakilishi wake ni wa utata...itakuaje pindi uchaguzi utakaporudiwa na Dr. Hussein Mwinyi kushindwa kutetea kiti chake?
wajuzi wa sheria tunaomba muungozo wenu hapa maana waandishi wetu hawajui kuibua issues wao wana report events..
Ni heri kuuliza kiungwana suala linalokutatiza bila kuleta 'dharau' kwa watu wengine!
Ona sasa!
Nafikiri Mh Mwinyi ni mbunge siyo mwakilishi!Wadau kuna swali linaniumiza kichwa juu ya uteuzi wa Dr. Huseein Mwinyi kuwa Waziri katika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dr. Hussein Mwinyi ni mwakilishi toka Zanzibar ambapo Uchaguzi umefutwa...kwa tafsiri ya kisheria uwakilishi wake ni wa utata...itakuaje pindi uchaguzi utakaporudiwa na Dr. Hussein Mwinyi kushindwa kutetea kiti chake?
wajuzi wa sheria tunaomba muungozo wenu hapa maana waandishi wetu hawajui kuibua issues wao wana report events..
Tatizo ni nyie mliopewa elimu za shule za kata,kukubali kudanganywa kama watoto wadogo na kundi la watu wachache ndani ya ccmTatizo ni elimu na kutumia tecno
una hamu wewe kocho?