Mahotera
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 762
- 1,892
Yeah, upo pale airforce main base...Ngerengere
Yeah, upo pale airforce main base...Ngerengere
Wabongo kwa kuustify mambo.....kwa hiyo kukiwa na Airport kunaathiri vipi utendaji wa jeshi?Morogoro ni mji wa kijeshi ule kuna dhana nzito za kijeshi pale
Hii ndo sababu ya kutoweka uwanja wa ndege ndani ya morogoro sijajua mantiki haswa ya kutoweka airport in morogoro
Labda tuangalie na Nchi za wenzetu kma ile mikoa ya kijeshi kma morogoro kuna uwanja wa ndege?
Kawaulize majeshi wenyeweWabongo kwa kuustify mambo.....kwa hiyo kukiwa na Airport kunaathiri vipi utendaji wa jeshi?
Kwani hii taarufa wameleta wanajeshi?,anaulizwa aliyeiletaKawaulize majeshi wenyewe
Waluguru bhana yaani Collins mnaita korenHahaaaaa, umenikumbusha mbali sana uliposema Koren. Jamaa alikuwa mmiliki wa kiwanda cha tumbaku na alikuwa mkimbiza Magari maarufu sana Moro kipindi cha nyuma.
Hahaaaaaaaaaa, haya BwanaWaluguru bhana yaani Collins mnaita koren
Yule ni Collins Higgins
Kwakua ni taarufa basi itabidi tukurejeshe la tatu C ujifunze kuandika tenaKwani hii taarufa wameleta wanajeshi?,anaulizwa aliyeileta
Lkn nafikiri ujumbe umeuelewa....asanteKwakua ni taarufa basi itabidi tukurejeshe la tatu C ujifunze kuandika tena
Ngerengere kuna uwanja wa ndege wa jeshi tu. Hako kaeneo ni no fly zone bila ruksa ya wenyeweKwa nlivowahi soma mahala flani Moro ni nation military airbase strategic area.
"SINAUHAKIKA SANA"
Ipo ipo 🤗Upo Kihonda. Panda hiace za Mazimbu shukia pale kituo kinaitwa Ipoipo! Uliza uwanja wa ndege watakuonesha!
Ndiyo, kituo cha hiace hicho Morogoro njia ya Mazimbu! Ukweli wa jina lenyewe ni Kama Ipo, Ipo tu! Sasa sisi wenyeji tukafupisha ikawa Ipoipo!Ipo ipo 🤗
Napafahamu vema mkuu,Kona ya kwenda sua ,ukinyoosha mbele unatokea maghorofaniNdiyo, kituo cha hiace hicho Morogoro njia ya Mazimbu! Ukweli wa jina lenyewe ni Kama Ipo, Ipo tu! Sasa sisi wenyeji tukafupisha ikawa Ipoipo!
Pana chimbo la kitimoto hatari sana pale!Napafahamu vema mkuu,Kona ya kwenda sua ,ukinyoosha mbele unatokea maghorofani
Hiyo Airport naijua
Moro
Unaonekana vizuri ukiwa unatokea kule kwenye maghorofa ya BIMA kabla hujafika Educare sekondari mkuu ila ni nyasi tu.Upo Kihonda. Panda hiace za Mazimbu shukia pale kituo kinaitwa Ipoipo! Uliza uwanja wa ndege watakuonesha!
Ndiyo, nyasi kwa wingi mpaka SUA tulikuwa tunaenda kuvuna na matrekta kwa ajili ya kutengeneza hay!Unaonekana vizuri ukiwa unatokea kule kwenye maghorofa ya BIMA kabla hujafika Educare sekondari mkuu ila ni nyasi tu.
Goroli to GodWaluguru bhana yaani Collins mnaita koren
Yule ni Collins Higgins
Wasingida upo mkubwa tuUShajiuliza wa singida uko wapi?
Waluguru wanapambana na maboga huko mlimani ndege yanini? Mkude yupo hapa anasema hata hiyoi treni ya umeme ni ngumu kwa mluguru kupanda yeye ni abudi bus tu inamshusha anapotaka
Waluguru wanapambana na maboga huko mlimani ndege yanini? Mkude yupo hapa anasema hata hiyoi treni ya umeme ni ngumu kwa mluguru kupanda yeye ni abudi bus tu inamshusha anapotaka