Ukichunguza viruzi wilaya zilizoaanzishwa zamani au kongwe zote zina viwanja kwaajili ndege ndogoIla uwanja wa ndege, siyo ofisi, kuwa kila mkoa ilitakiwa kuwa nao.
Upo Kihonda....umeota nyasi hatari....toka Koreni afe basi uwanja umekosa mtumiaji.
Miaka 10 ijayo ntakuwa nautumia mimi.
Yah upo sahihi...Kwa nlivowahi soma mahala flani Moro ni nation military airbase strategic area.
"SINAUHAKIKA SANA"
Ni kweli, mji wa ndege za kijeshi na kuna uwanja kule ngerengere mkubwa sana na midege yote ya kivita kule. Hata ndege ya kiraia ikikosea kupita lile anga inaweza dunguliwa dk yoyote.Kwa nlivowahi soma mahala flani Moro ni nation military airbase strategic area.
"SINAUHAKIKA SANA"
Nani kakuambia amekufa?...Upo Kihonda....umeota nyasi hatari....toka Koreni afe basi uwanja umekosa mtumiaji.
Miaka 10 ijayo ntakuwa nautumia mimi.
Ukitoka Kigoma una shuka MorogoroMtu anatoka kigoma anaenda Moro inabidi ashuke Dar aanze tena safari...
Upon sehemu inaitwa kiwanja cha ndegeWakuu ninaomba kujua ulipo uwanja wa ndege wa mkoa wa Morogoro na kama haupo ni kwa nini wakati moro ni mkoa wa kibiashara.
Na singida vipi au napo ni karibu na dodomaHakuna Uwanja wa ndege moroNadhani sababu Ni moro kuwa karibu Sana na Dar na Dodoma ambapo ndiko makazi ya Walamba Asali yaliko
Hiyo ni airstrip sio airportHuo hapo mleta mada!View attachment 2637359
Hata mm,, nlikuwa nafikiria hivo lakin sina uhakikaKwa nlivowahi soma mahala flani Moro ni nation military airbase strategic area.
"SINAUHAKIKA SANA"
Au unatoka Morogoro kwenda wapi?Ndege kwenda Morogoro ukitokea wapi sasa??
Hahaaaaa, umenikumbusha mbali sana uliposema Koren. Jamaa alikuwa mmiliki wa kiwanda cha tumbaku na alikuwa mkimbiza Magari maarufu sana Moro kipindi cha nyuma.Upo Kihonda....umeota nyasi hatari....toka Koreni afe basi uwanja umekosa mtumiaji.
Miaka 10 ijayo ntakuwa nautumia mimi.
Upo Kihonda. Panda hiace za Mazimbu shukia pale kituo kinaitwa Ipoipo! Uliza uwanja wa ndege watakuonesha!Wakuu ninaomba kujua ulipo uwanja wa ndege wa mkoa wa Morogoro na kama haupo ni kwa nini wakati moro ni mkoa wa kibiashara.