- Thread starter
- #81
Tunashukuru Mungu walilala Hotelini kwa siku mbili....Hee kweli usafiri wa ndege ni "Guarantee".Yaani mtu unakaa hapo tu Segerea kupitia majumba sita,badala ya kuambiwa urudi nyumbani unaambiwa twende hotelini,tena hoteli ya nyota tano.Na mkononi unapewa $250 kwa siku kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale...Yaani in two days unajikuta na $500!!Kanauli kama hujalipa hiviiiiii......Ama hakika usafiri wa ndege ndio weneyweUngetitajia muda uliofika na kuondoka na hata shirika gani la ndege watu wajue tu nao wapige simu kucheki safari zao.
Poleni kwa usumbufu, haswa kwa mgonjwa
Asante sana mkuu....Hata nafuu atakuwa kapata kabla ya kuondoka ha ha ha ha ha ha