Uwanja wa Ndege(JNIA) wafungwa kwa muda usiku

Watanzania wanaganda kwenye ma foleni mpaka angani.

Runway mpya ni sawa na kujenga kibarabara chenye urefu wa kituo kimoja cha daladala away, Kinondoni Manyanya mpaka Kinondoni Mwembejini. Kinatushinda.

British Airways walifuta route ya kuja Bongo kwa sababu they were losing money. Hawa waliobaki wakija siku nyingine tukawazungusha zungusha hewani wanapoteza mafuta kwa sababu tuna ki runway kimoja watasepa.
Lkn kumbuka lami ya runway si sawa na lami ya kupitisha Passo na Yutong mkuu Taso
 
Mkuu Pdidy kwani Runway siku hizi zimebadilika?Nakumbuka enzi hizo kulikuwa na Runway 23 na 05 na kale kafupi ilikuwa 23 na 14....ina maana kuna nyingine imeboreshwa na kuwa 3/5....
Daah napamiss sana hapo enzi za Yeletsin na Gulf Air na Air India!!Ikishuka tu lazima mifuko ijae!!
Mpwashikamooo kwanza dah simchezo wakukuheshimu huku ngojanisave nisijetukana mabosi wangu
 
Ni kweli, mfano kile Kiwanja cha kijeshi kule Ngerengere unaongeza urefu wa runway yake na sehemu ya kupaki ndege hasa kubwa na kwa vile ni mahali pa dharura hamna haja ya manjonjo mengi. Mambo ya uwanja wa dharura kuwa mbali nayo ni shida.
Nakumbuka wale vijana walianguka KIA baada ya kuambiwa wazunguke kwanza kuna ndege iko tayari kuondoka kumbe na wao hawana mafuta na uwanja wa Arusha uko mbali
Wanaongeza termn three
 
Mpwashikamooo kwanza dah simchezo wakukuheshimu huku ngojanisave nisijetukana mabosi wangu
Mpwa wasalimie sana JNIA mpwa....Flamingo bado kuna-hit?Enzi za ujana ukitaka kumng'oa mtoto mzuri wa Masaki unamwambia aje Airport siku fulani maana utakuwa unarudi toka South Afrika...Akifika pale unapandisha pale Flamingo kwa Muhindi mnapata msosi huku ukiwa na vizawadi ulivyonunua pale pale nje uwanjani.Basi mtoto akila msosi wa pale juu na wewe na kabegi ka uwongo na kweli anajuwa kweli wewe wa bondeni...Kumbe mazawadi ya kwenye ndege ya Air India tu...Baadae unakula mzigo kilainiiiiiii maana enzi hizo kwenda bondeni au Mamtoni ilikuwa deal sana....Nyakati zimeshakwenda!!Sasa tunasomesha na kuozesha!Kweli wakati ukuta
 
Wabongo kwa kubeza we acha tu! Hata suala la usalama tunabeza kweli! Lazima wahusika wajiridhishe Kitu gsni kimetokea; wasipofanya uchunguzi kukatokea majanga sijui tutaongea nini tena?
Uko sahihi kabisa, hili tukio la ndege kupasuka tairi la mbele baada ya kutua tu,lililopelekea kutoruhusiwa ndege zingine kutua,lingekua limetokea nchi nyingine,hao hao wanaoponda wangesifu, utawasikia "Watu wako serious na safety,lazima uwanja ufungwe ili wajue nini kilichotokea,pengine kuna kichuma chenye ncha kali kwenye runway" ila ikitokea kwao wanaponda..!!!!
 
Mpwa wasalimie sana JNIA mpwa....Flamingo bado kuna-hit?Enzi za ujana ukitaka kumng'oa mtoto mzuri wa Masaki unamwambia aje Airport siku fulani maana utakuwa unarudi toka South Afrika...Akifika pale unapandisha pale Flamingo kwa Muhindi mnapata msosi huku ukiwa na vizawadi ulivyonunua pale pale nje uwanjani.Basi mtoto akila msosi wa pale juu na wewe na kabegi ka uwongo na kweli anajuwa kweli wewe wa bondeni...Kumbe mazawadi ya kwenye ndege ya Air India tu...Baadae unakula mzigo kilainiiiiiii maana enzi hizo kwenda bondeni au Mamtoni ilikuwa deal sana....Nyakati zimeshakwenda!!Sasa tunasomesha na kuozesha!Kweli wakati ukuta
Duh Mpwa utafanyawakezetu washinde pale nje kwikwikwi
 
Mpwa wasalimie sana JNIA mpwa....Flamingo bado kuna-hit?Enzi za ujana ukitaka kumng'oa mtoto mzuri wa Masaki unamwambia aje Airport siku fulani maana utakuwa unarudi toka South Afrika...Akifika pale unapandisha pale Flamingo kwa Muhindi mnapata msosi huku ukiwa na vizawadi ulivyonunua pale pale nje uwanjani.Basi mtoto akila msosi wa pale juu na wewe na kabegi ka uwongo na kweli anajuwa kweli wewe wa bondeni...Kumbe mazawadi ya kwenye ndege ya Air India tu...Baadae unakula mzigo kilainiiiiiii maana enzi hizo kwenda bondeni au Mamtoni ilikuwa deal sana....Nyakati zimeshakwenda!!Sasa tunasomesha na kuozesha!Kweli wakati ukuta
Mjomba unanikumbusha mbalii Luna wafanyakazi wa pale airport walikuwa wakijitangaza ma pilot wanaita mzigo Dk za mwisho wakiwa wanaondoka wakimaliza KAZI wana shati nyeupe wametengeneza NA bars NNE kabisa pale kwa make I buguruni..anatoa anaweka la bars anavaa koti akiaribia gari anatoa koti mabinti wanajua jamaa katoka Nairobi NA ndege uwiii waliteswa

Mwisho wasiku unakuta waliwapa NA majina ya uongo mabinti wanahahaa sikunzima kuuliza unafanya HAPA airport ndio unamjua salum simjui sogea mbele unamjua JoJo simjui hapo wote fake
 
KUNA MABINTI ENZINHIZO WANAKUJA WANAKAA PALE NJE WANAZUNGUKA NA BAHASHA JAMANI YESU AWASEMEHE WALE WATU WANAENDA TENGENEZA NA BUSSINESS KADI ZA UONGO PALE KWA DADA NANII AISEE WANAWAPA NA LINE AMBAZO WAKISOMA WANAPIGA SO WAKAJUA AWA MABOSI NDIO WENYEWE SIKU WAMEMALIZA KUWAPITIA NA ZILE LINE AZIONEKAN

WAKAANZA KUONYESHA WATU MNAMJUA HILI NINA ANAFANYA KAMPUNI XXX HAHAA WANAMWAMBIA MBONA HIO SIO BUSN KADI YAHIO KAMPUNI NA KAKUPA..

MBAYA WALIKUWA WANAKAMATA WANAUME KAMA WATATU WANWAAHAIIDI KAZI UWI WSKIWARUKIA WANAKUJA KURELIASE KUMBE BKADI ZOTE HEWA..HILI NALO JPM ANGELIFWATILIA ENZI HIZO
 
Uko sahihi kabisa, hili tukio la ndege kupasuka tairi la mbele baada ya kutua tu,lililopelekea kutoruhusiwa ndege zingine kutua,lingekua limetokea nchi nyingine,hao hao wanaoponda wangesifu, utawasikia "Watu wako serious na safety,lazima uwanja ufungwe ili wajue nini kilichotokea,pengine kuna kichuma chenye ncha kali kwenye runway" ila ikitokea kwao wanaponda..!!!!
Umewahi kufika nchi za wenzetu au unaosha mdomo tu?

Achilia mbali ndege wenzetu hata train ikitokea ikapata dosari reli zipo nyingi, safari zitaendelea kawa kawaida.
 
Mjomba unanikumbusha mbalii Luna wafanyakazi wa pale airport walikuwa wakijitangaza ma pilot wanaita mzigo Dk za mwisho wakiwa wanaondoka wakimaliza KAZI wana shati nyeupe wametengeneza NA bars NNE kabisa pale kwa make I buguruni..anatoa anaweka la bars anavaa koti akiaribia gari anatoa koti mabinti wanajua jamaa katoka Nairobi NA ndege uwiii waliteswa

Mwisho wasiku unakuta waliwapa NA majina ya uongo mabinti wanahahaa sikunzima kuuliza unafanya HAPA airport ndio unamjua salum simjui sogea mbele unamjua JoJo simjui hapo wote fake
Mpwa hizo ndil zilikuwa zetu hizo mpwa!!Hatari sana .
 
Uko sahihi kabisa, hili tukio la ndege kupasuka tairi la mbele baada ya kutua tu,lililopelekea kutoruhusiwa ndege zingine kutua,lingekua limetokea nchi nyingine,hao hao wanaoponda wangesifu, utawasikia "Watu wako serious na safety,lazima uwanja ufungwe ili wajue nini kilichotokea,pengine kuna kichuma chenye ncha kali kwenye runway" ila ikitokea kwao wanaponda..!!!!
Watu lazima waponde tu,kutegemea runway moja tu kwenye kiwanja ambapo ndege hutua masaa 24 ni ajabu.
Ilipaswa kuwa na Runway mbili,ili emergency kama hiyo ikitokea basi runway moja inafungwa na nyingine inapiga kazi.

Hapo Kenya wameamua kuongeza runway ambayo itakuwa na urefu wa M5,500 karibu km5 na nusu.Mradi utagharimu karibu dola milioni 140+.
 
Kwanini serukali isifanye utaratibu wa kuwa na njia mbili au zaidi kwa ajili ya ya dharura kama hiyo ya gurudumu kupasuma
 
Umewahi kufika nchi za wenzetu au unaosha mdomo tu?

Achilia mbali ndege wenzetu hata train ikitokea ikapata dosari reli zipo nyingi, safari zitaendelea kawa kawaida.
Asiyekujua hakudhamini huo ni msemo tu, so sioni umuhimu wa kukwambia mimi naishi wapi,halafu jifungue kichwa japo kidogo tu,mtu anaweza akawa yupo Sinza na akajua mambo ya Tokyo Japan.
 
Ni kweli, mfano kile Kiwanja cha kijeshi kule Ngerengere unaongeza urefu wa runway yake na sehemu ya kupaki ndege hasa kubwa na kwa vile ni mahali pa dharura hamna haja ya manjonjo mengi. Mambo ya uwanja wa dharura kuwa mbali nayo ni shida.
Nakumbuka wale vijana walianguka KIA baada ya kuambiwa wazunguke kwanza kuna ndege iko tayari kuondoka kumbe na wao hawana mafuta na uwanja wa Arusha uko mbali
Mkuu Chakaza unaelewa hilo jambo?Pale Ngorongoro ni anga lisilopitika kwa ndege za kiraia...kuna maeneo katika nchi anga lake huwezi kupita kwa juu.
Mfano wa maeneo hayo ni anga la Ikulu-Dsm na eneo la anga la Ngerengere...Ndio maana huwezi kuona ndege ya kiraia inapita juu ya anga la Ngerengere....Ukiwa unaenda Mwanza unazungukaaa weee mpaka Tanga huko hadi Manyara unaibukia Mwanza
 
Watu lazima waponde tu,kutegemea runway moja tu kwenye kiwanja ambapo ndege hutua masaa 24 ni ajabu.
Ilipaswa kuwa na Runway mbili,ili emergency kama hiyo ikitokea basi runway moja inafungwa na nyingine inapiga kazi.

Hapo Kenya wameamua kuongeza runway ambayo itakuwa na urefu wa M5,500 karibu km5 na nusu.Mradi utagharimu karibu dola milioni 140+.
Mkuu naona comment yangu umeielewa kivingine,

mimi nime support runway kufungwa mpaka kijulikane kilichopelekea Ndege ya Oman air kupasuka tairi baada ya kutua,

naomba ieleweke kua sikusapoti airport kua na runway moja ni sawa,

nime support kufungwa kwa airport kwa dharula kwa usalama wa ndege zingine na abiria wake,


kuhusu airport kua na runway moja hata mimi naungana na wewe kua hilo si sahihi na runway nyingine ni muhimu ikatengenezwa,Mpaka hapa nadhani utakua umenielewa


Thanks.
 
Mkuu naona comment yangu umeielewa kivingine,

mimi nime support runway kufungwa mpaka kijulikane kilichopelekea Ndege ya Oman air kupasuka tairi baada ya kutua,

naomba ieleweke kua sikusapoti airport kua na runway moja ni sawa,

nime support kufungwa kwa airport kwa dharula kwa usalama wa ndege zingine na abiria wake,


kuhusu airport kua na runway moja hata mimi naungana na wewe kua hilo si sahihi na runway nyingine ni muhimu ikatengenezwa,Mpaka hapa nadhani utakua umenielewa


Thanks.
Tupo pamoja mkuu!!
 
Back
Top Bottom