yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,901
- 4,129
Amani iwe kwenu wakuu...
Tangu nlipokuwa kijijini (home village) huko Manyara nlikuwa nkisikia sana hili jina (uwanja wa fisi).
Nlipokuja Dar nkawa pia nasikia watu wakipataja huko. Nina miaka miwili now hapa mjini lakini sijui ni wapi huko.
Wadau naomba mnijuze.. huko Uwanja wa Fisi ni wapi? Nahitaji kupatembelea.
Je kunapatikana fisi huko kama jina lilivyo au kunapatikana nini huko?
Karibuni.
Tangu nlipokuwa kijijini (home village) huko Manyara nlikuwa nkisikia sana hili jina (uwanja wa fisi).
Nlipokuja Dar nkawa pia nasikia watu wakipataja huko. Nina miaka miwili now hapa mjini lakini sijui ni wapi huko.
Wadau naomba mnijuze.. huko Uwanja wa Fisi ni wapi? Nahitaji kupatembelea.
Je kunapatikana fisi huko kama jina lilivyo au kunapatikana nini huko?
Karibuni.