Ndio maana leo Mzee Mbowe na genge lake wanakenua wanavyotakaMama anaupiga mwingi
Ndio maana leo Mzee Mbowe na genge lake wanakenua wanavyotakaMama anaupiga mwingi
Sio kama misukele ya mzee Mbowe wakiongozwa na binamu yake LemaChawa ni wapumbavu haswa
Rudi shule wewe kenge wa CDM ,walau ukapate msasa wa awali kuhusu time value for moneyWatu wezi sana gharama ya uwanja huo ni mara tano ya Mkapa.
Ni kweli, japo nae aache kumbukumbu kuwa kuna jambo amelifanya nchiniUtakuwa ndio mradi wake wa kwana tangu aingie madarakani bila shaka 🤣🤣🤣.
Pesa hizo ni za ufadhili. Tusidanganyane hivi waafrika tukoje? Kila kitu kusifu mtu mbona walipa kodi ambao ndio webye hela hawatambuliwi?Huja msikia waziri kasema mama katoa fedha
Ofcourse yupo Sahih, Ni mazingira mazuri kiutalii kuliko mji wowote nasi lengo letu kuu ni pesa tu kikubwa wasijenge Kizimkazi.Lema hataka huo uwanja ujengwe Arusha
Aliyekuwa akiitwa Ngorongoro jina lake limepewa hiyo sehemu sasa wacha jina la Dr. Samia lipewe huo uwanja.Kwanini uitwe na Dr Samia badala hata ya Ngorogoro?
Imekaa kijanja Sana hiiKwanini uitwe na Dr Samia badala hata ya Ngorogoro?
umeazima mihemko kunisingizia unyumbu 🐒Tangia lini nyumbuwa wa mzee Mbowe wakawa na busara?
Kuitwa Samia ni ujanja?Imekaa kijanja Sana hii
Hakuna unachokijua dada angu wewe nyamazaAliyekuwa akiitwa Ngorongoro jina lake limepewa hiyo sehemu sasa wacha jina la Dr. Samia lipewe huo uwanja.
UWT sahivi hamsikiki kabisaSio kama misukele ya mzee Mbowe wakiongozwa na binamu yake Lema
NgorongoroKuitwa Samia ni ujanja?
Hapo sawaNgorongoro
uafrika na unyani ni dugu mojaHili nalo ni janga ,utasema mama kalima mazao kauza amekuja kutugawia pesa
Watu tunalipa Kodi kwa shida ila serikali inatupa huduma kwa vijembe, utaskia mama kawajengea barabara, yaani ujinga mtupu Africa hii
Ndiyo level ya kufikiri ya watawala wetu. Jambo kama hili niliwahi kuliona na kunishangaza siku moja niliposoma bango la hosteli za UDSM zilizopewa jina la Magufuli.KJwani usiitwe "Uwanja wa Samia Suluhu Hassan" badala ya kuwa na "Dr. Samia?" Je kutakuwa na uwezekano wa kuwa na uwanja wa "Mrs. Samia"