maiyanga1
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,317
- 1,790
Naangalia mchezo wa kirafiki Azam na Coast Union.
Pamoja na burudani hiyo ninashangazwa na ubora wa uwanja, hasa eneo la kuchezea.
Nalinganisha ninachokiona na hali za viwanja kama Mkwakwani Tanga, Sokoine Mbeya, Jamhuri Morogoro/Dodoma, Sheikh Amri Abeid Arusha na vinginevyo ambavyo ni vya serikali ya CCM.
Najiuliza inawezekanaje S.Bakheresa aweze kujenga uwanja mzuri kama huu serikali ishindwe?
Pamoja na burudani hiyo ninashangazwa na ubora wa uwanja, hasa eneo la kuchezea.
Nalinganisha ninachokiona na hali za viwanja kama Mkwakwani Tanga, Sokoine Mbeya, Jamhuri Morogoro/Dodoma, Sheikh Amri Abeid Arusha na vinginevyo ambavyo ni vya serikali ya CCM.
Najiuliza inawezekanaje S.Bakheresa aweze kujenga uwanja mzuri kama huu serikali ishindwe?