Darius Tanz
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 461
- 137
Kichwa cha uzi chajieleza, naomba kujuzwa Mahitaji au nyaraka muhimu wanazohitaji vodacom ili niweze kupata line ya wakala wa mpesa yenye jina langu
Mdogo ake the bold... Umesahau namba binafs ya Voda na first deposit1. Leseni ya biashara
2.
Wanakuja wajuvi kumalizia
Mdogo ake the bold... Umesahau namba binafs ya Voda na first deposit
Kubadili jina inatumia muda gani maana niko kwenye mchakato wa kununuaNunua tu Kwa mtu then utabadili jina huku ukiitumia