Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Kuna uvumi unaenezwa kwa watu kuwa iwapo umepokea rushwa/takrima toka ccm alafu ukawasaliti kwa kuwapigia kura wapinzani.Eti iyo karatazi ikipelekwa kwa computer itaonyesha iyo tick ilikuwa ya nani!
MY TAKE
Nakubaliana na Baregu kuwa mataji wa CCM ni ujinga wa watanzania imagine someone spreading such hopeless threats kwa wananchi kwa kitu ambacho hakiwezekani.
Naona CCM wanatumia iyo strategy hasa baada ya baadhi ya viongozi wa dini kusema ela za rushwa kuleni bse ni zetu ila kwenye box la kura ni siri yako na muumba
MY TAKE
Nakubaliana na Baregu kuwa mataji wa CCM ni ujinga wa watanzania imagine someone spreading such hopeless threats kwa wananchi kwa kitu ambacho hakiwezekani.
Naona CCM wanatumia iyo strategy hasa baada ya baadhi ya viongozi wa dini kusema ela za rushwa kuleni bse ni zetu ila kwenye box la kura ni siri yako na muumba