kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Mwenzenu nipo sehemu Ambayo Kuna pesa ila mimi bwana Nina mashetani ya uvivu wa kufanya kazi kabisa
Yaani nipo Kama nimerogwa Niki ingia kazini tu usingizi una nikamata ila nikiwa na ongeya kwenye simu naweza nika kesha
Sijui Kama nime umbwa ili niwe maskini au najitakia mwenyewe
Dah acha ni lale bwana
Yaani nipo Kama nimerogwa Niki ingia kazini tu usingizi una nikamata ila nikiwa na ongeya kwenye simu naweza nika kesha
Sijui Kama nime umbwa ili niwe maskini au najitakia mwenyewe
Dah acha ni lale bwana