Uvivu nacho chanzo cha wadada kuwa makahaba

Uvivu nacho chanzo cha wadada kuwa makahaba

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,345
Sipendi hizi za "Niliamua kuwa changudoa kwa sababu ya ugumu wa maisha."...

Swali linalofuata linatakiwa liwe, ulichukua hatua gani kukabiliana nao? Unakuta kiumbe wa Allah hakujaribu hata kutafuta kazi za ndani au kuosha vyombo kwa mama lishe.
Akapata nafasi ya kupelekwa shule na shangazi yake lakini yeye akakimbia kisa anadai anatumikishwa kazi nyingi, sasa kula ule wewe chombo akuoshee nani, kufagia uwanja, kufua nguo za wadogo zako ambao mama yao ndo anakulisha nako ni kunyanyaswa?

Kama alifiwa na mzazi ndio kabisaaa anapata kisingizio kwa kudai kuwa alikuwa ananyanyaswa!
Nachukia sana hizi drama...

500x_prostitutes.jpg
 
hasa dada zetu hawa wa kitanzania.si wote wengne ni wasaka noti hasa bt majority ni wavivu kazi kuuza TIGO.mengine makubwa kula bure kulala bure kwao lakini malaya kweli.
 
Kwani kuliwa 0713 sio kazi? Mi naona bora upasue mawe kuliko hiyo kitu. Ni kweli waache uvivu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom