AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,517
Kitendo cha wazazi kufurahia shule kufunguliwa huku wakisema maneno mfano:- "afadhali watuondolee usumbufu nyumbani". ..
Hii inaonesha wazi kabisa leo wazazi kuwapeleka watoto shule ni kukwepa usumbufu na kusukumia jukumu la msingi la malezi ya watoto kwa watu wengine... Na si kwa lengo la kuwafanya wapate elimu kama inavyodhihirika...
Kwa msingi huu... Kila mafanikio ya tendo linategemea NIA na KUSUDIO... Basi tusishangae FAILURE, JOBLESS, SINGLE MOTHERS, DRUG ABUSERS na mienendo mingine mitaani mibovu. .. Haya yote ni MATOKEO YA NIA YA MSINGI TULIYOIWEKA AMBAYO NI KUPUNGUZA USUMBUFU NYUMBANI. ..
UVIVU WA JUKUMU LA MALEZI YA WAZAZI KWA WATOTO NI CHANZO CHA YOTE:-
1. Mtoto anaachishwa ziwa mapema anakabidhiwa YAYA wa DayCare. Hujui wanayofanyiwa huko. . .Ni Allah tu anawalinda ukirudi unawakuta wazima.
2. Mtoto katika umri mdogo wa miaka 5 hadi 8 anapelekwa NURSERY BOARDING...
HII SI KWA SABABU UNA PESA BASI UNAMTAFUTIA ELIMU BORA, HAPANA LENGO SIO HILO... LENGO LENU NI KUEPUSHA USUMBUFU KATIKA MALEZI.
NAWAHAKIKISHIA NDUGU ZANGU TUNALITENGENEZA BOMU HATARI SANA AMBALO MADHARA YAKE NI MAKUBWA SANA BAADAE...
KWANINI HATUJALI KIZAZI TUNACHOKIACHA NYUMA.
MZAZI UKIJITAHIDI KUSIMAMIA MWENYEWE MALEZI YA MWANAO VIZURI.UTAMTENGENEZA MTOTO NAMNA BORA AMBAYO IPO KATIKA NDOTO ZAKO.
Utayaangalia madhaifu yaliyotokea katika malezi uliyokulia wewe na njia zako za maisha na utayarekebisha kwa mtoto wako mwenyewe. . . ILI YASIJIRUDIE MAKOSA.
LAKINI KUKWEPA HUKU KWA MALEZI KUTATUGHARIMU SANA AINA YA KIZAZI TUTAKACHOKIACHA...
TUSIKIMBIE WALA KUWATUPIA WENGINE JUKUMU LETU LA MALEZI KWA WATOTO WETU TULIOWAZAA KWA STAREHE ZETU. ..
Hii inaonesha wazi kabisa leo wazazi kuwapeleka watoto shule ni kukwepa usumbufu na kusukumia jukumu la msingi la malezi ya watoto kwa watu wengine... Na si kwa lengo la kuwafanya wapate elimu kama inavyodhihirika...
Kwa msingi huu... Kila mafanikio ya tendo linategemea NIA na KUSUDIO... Basi tusishangae FAILURE, JOBLESS, SINGLE MOTHERS, DRUG ABUSERS na mienendo mingine mitaani mibovu. .. Haya yote ni MATOKEO YA NIA YA MSINGI TULIYOIWEKA AMBAYO NI KUPUNGUZA USUMBUFU NYUMBANI. ..
UVIVU WA JUKUMU LA MALEZI YA WAZAZI KWA WATOTO NI CHANZO CHA YOTE:-
1. Mtoto anaachishwa ziwa mapema anakabidhiwa YAYA wa DayCare. Hujui wanayofanyiwa huko. . .Ni Allah tu anawalinda ukirudi unawakuta wazima.
2. Mtoto katika umri mdogo wa miaka 5 hadi 8 anapelekwa NURSERY BOARDING...
HII SI KWA SABABU UNA PESA BASI UNAMTAFUTIA ELIMU BORA, HAPANA LENGO SIO HILO... LENGO LENU NI KUEPUSHA USUMBUFU KATIKA MALEZI.
NAWAHAKIKISHIA NDUGU ZANGU TUNALITENGENEZA BOMU HATARI SANA AMBALO MADHARA YAKE NI MAKUBWA SANA BAADAE...
KWANINI HATUJALI KIZAZI TUNACHOKIACHA NYUMA.
MZAZI UKIJITAHIDI KUSIMAMIA MWENYEWE MALEZI YA MWANAO VIZURI.UTAMTENGENEZA MTOTO NAMNA BORA AMBAYO IPO KATIKA NDOTO ZAKO.
Utayaangalia madhaifu yaliyotokea katika malezi uliyokulia wewe na njia zako za maisha na utayarekebisha kwa mtoto wako mwenyewe. . . ILI YASIJIRUDIE MAKOSA.
LAKINI KUKWEPA HUKU KWA MALEZI KUTATUGHARIMU SANA AINA YA KIZAZI TUTAKACHOKIACHA...
TUSIKIMBIE WALA KUWATUPIA WENGINE JUKUMU LETU LA MALEZI KWA WATOTO WETU TULIOWAZAA KWA STAREHE ZETU. ..