Kashifu uwezavyo, mimi huwa sisumbuliwi na maneno ya kashfa kama yako. Hayo ni maji ya moto yasiyochoma nyumba. Ukweli ni kwamba UVCCM imetuzalishia mafisadi wengi sana na tusingependa Bavicha iwe hivyo.Kama umeshindwa kuhamini hadi MAHAKAMA basi wewe ni ZWAZWA kipimo cha Checkup ya AKILI kinahitajika.
Pia tambua tu kama mmeshindwa kutengeneza Bavicha vizuri ili kuwa tanuru la viongozi bora basi mmejipanga kuto kuwa na Viongozi wenye uzalendo kwa nchi yetu.
Wafanye kazi zipi? Vijana wa chuo intake 3 hawana ajira. Viwanda viko wapi Na vinazalisha nini? Kila kitu kinatoka China Na India. Plastic, madoli, nguo, TV, radio, magari, viatu,Well said!
Uzalendo haupimwi kwa kutafuta vyeo bali hupimwa katika utumishi. Utumishi kwa Taifa. Naomba mifano michache ya vijana waliopitia UVCCM ambao ni viongozi wa mfano, ni wafanyabiashara wa mfano, ni wanasayansi wa mfano, ni wawekezaji wa mfano, ni wakulima wa mfano. Madaraka ni sehemu ndogo sana ya uongozi. Uongozi wa wa kizalendo ni kuwa mfano katika kila jambo na hasa katika kutatua matatizo ya kila siku ya jamii katika Taifa.Hivi huu ni uelewa wako kuhusu UVCCM!?
Ngoja nikufumbue macho kidogo, UVCCM katika taasisi au jumuiya za Vijana inayopika Vijana wengi Wazalendo kwa taifa leo na kutoa Viongozi makini wanaosimama katika Ujamaa na Kujitegemea ila pia kusema kweli.
Ama kweli akutukanae hajagui tusi. Mii ni kuhusisha kwa aina yoyote na CCM ni kunidhalilisha, kunitusi na kunidhihaki.Naamini wewe kama mwenye kumsaidia huyo Shaka kuandaa hizo hotuba na kumlisha maneno msaidie na kumsomesha alau apate hizo sifa unazozitaka wewe kuondoa huo ukaimu.
"Unapokosoa uwe na uwezo wa kutengeneza'
well saidWewe shaka acha uongo.nchi hii ni ya kidekteta usidanganye watu.danganya hayo mambumbu lakini watu wenye akili timamu huwezi kutudanganya ng'o.wewe unasumbuliwa na njaa ndio maana unaisifu ccm.ccm haijakata hati miliki ya kuongoza nchi hii 2020 ndio mwisho wenu nyie chama cha majambazi
Umoja Wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi ( Uvccm ) umemtaka aliyekuwa waziri mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya chadema Edward Lowassa kufuta fikra ya kuwa Chadema itaibwaga CCM hata kama kutakuwa na UKAWA.
Kauri hiyo imezungumzwa na kaimu katibu mkuu wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi taifa (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka na kusema kuwa.
“Kwa bahati mbaya Lowassa amesukumwa na hasira na kujikuta akijitoa CCM mwaka 2015 kama mtu aliyekuwa anacheza ngoma kwa kwenda upinzani huku akiwa na matumaini ya kuukwaa urais.Alisema kama kuna kosa kubwa ambalo Lowassa amelifanya ni kitendo chake cha kuhama CCM na kwenda upinzani hasa Chadema ,Kwa sababu yeye mwenyewe alishawahi kutamka hadharani akihutubia mkutano wa hadhara mwaka 2006 akilinganisha upinzani ni watoto wanaokimbilia mdundiko”.Lowassa asikubali kucheza tombola katika siasa,Siasa ni hesabu na ina formula zake.Nafikiri amekurupuka kujiondoa CCM ameupanda mkenge kwenda Chadema ajue kuwa si Ukawa wala Udeta wenye ubavu wa kuiondoa CCM madarakani alisema Shaka.
Alimtaka Lowassa kujua kuwa hata viongozi na wanachama wa upinzani hawamwafiki mwanasiasa huyo kwa asilimia kubwa,kwani wapo viongozi aliowakuta ambao wametoa jasho jingi kuvijenga vyama vyao hivyo hawapo tayari kumpisha agombee tena urais.
Pia Kaimu katibu mkuu Shaka alifafanua kuhusu kauri iliyotolewa na Lowassa kwa kusema kuwa Tanzania kuna ukandamizwaji wa demokrasia..Shaka alisema
“ Haiba ya demokrasia iliyopo Tanzania huwezi kukutana nayo popote Afrika mashariki,Afrika na duniani kwa ujumla,Ila uamuzi wa serikali ya awamu ya tano ni kuwahimiza wananchi kufanya kazina kuzalisha mali viwandani na mashambani.Uhuru wa demokrasia au watu kujitawala bila shibe na maendeleo ya kisekta ni upuuzi.
Alisema kwa msisitizo ndugu Shaka.Pia aliendelea kusema kuwa
“Tumemaliza kampeni na uchaguzi mkuu kila mmoja sasa afanya kazi, kukusanya watu kwenye makongamano na kuwapa bahashishi ni kuwapumbaza kiakili ikiwa bado ni Maskini" alimaliza kusema ndugu Shaka..
Source
Gazeti la Mtanzania la mei 15,2017 toleo Na.8546
Ukurasa wa 8.
The guilty are always afraidSasa hapa amejibu mapigo au amepigia mstari hoja za Mzee Edo kuhusu uminywaji wa demokrasia?
As if it were not enough in the magazine, you decide to put this shit here!
If this Shaka thinks CCM is not going to fall, then good for him, he needs to keep quite and hang on to his beliefs.
Is he trying to say that 'hapa kazi tu' is an alternative to democracy?
He be warned, democracy has eleven pillars and it has no sabstitute!
Alafu rudisheni kwanza hela ya rambirambi!
Nikweli ulichoandika ndicho unachoimanisha? Inatakiwa ujitoe fahamu ndipo uwe na fikira Kama zako, jitahidi nafasi ya mkuu wa wilaya Uyui bado haijapata mtu.Hivi akili zako bado zipo kwenye Viroba tu.
Hakuna dictator hapa nchini ila mnatengeneza mazingira ya kuwapambanisha watawala na wananchi
Tumewapuuza ukweli utasimama
Aisee shaka tafadhari ,kaa chini uachie wanaojua kuicheza ngoma ,yaani bado hujasema kitu kabisa pole yakoUmoja Wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi ( Uvccm ) umemtaka aliyekuwa waziri mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya chadema Edward Lowassa kufuta fikra ya kuwa Chadema itaibwaga CCM hata kama kutakuwa na UKAWA.
Kauri hiyo imezungumzwa na kaimu katibu mkuu wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi taifa (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka na kusema kuwa.
“Kwa bahati mbaya Lowassa amesukumwa na hasira na kujikuta akijitoa CCM mwaka 2015 kama mtu aliyekuwa anacheza ngoma kwa kwenda upinzani huku akiwa na matumaini ya kuukwaa urais.Alisema kama kuna kosa kubwa ambalo Lowassa amelifanya ni kitendo chake cha kuhama CCM na kwenda upinzani hasa Chadema ,Kwa sababu yeye mwenyewe alishawahi kutamka hadharani akihutubia mkutano wa hadhara mwaka 2006 akilinganisha upinzani ni watoto wanaokimbilia mdundiko”.Lowassa asikubali kucheza tombola katika siasa,Siasa ni hesabu na ina formula zake.Nafikiri amekurupuka kujiondoa CCM ameupanda mkenge kwenda Chadema ajue kuwa si Ukawa wala Udeta wenye ubavu wa kuiondoa CCM madarakani alisema Shaka.
Alimtaka Lowassa kujua kuwa hata viongozi na wanachama wa upinzani hawamwafiki mwanasiasa huyo kwa asilimia kubwa,kwani wapo viongozi aliowakuta ambao wametoa jasho jingi kuvijenga vyama vyao hivyo hawapo tayari kumpisha agombee tena urais.
Pia Kaimu katibu mkuu Shaka alifafanua kuhusu kauri iliyotolewa na Lowassa kwa kusema kuwa Tanzania kuna ukandamizwaji wa demokrasia..Shaka alisema
“ Haiba ya demokrasia iliyopo Tanzania huwezi kukutana nayo popote Afrika mashariki,Afrika na duniani kwa ujumla,Ila uamuzi wa serikali ya awamu ya tano ni kuwahimiza wananchi kufanya kazina kuzalisha mali viwandani na mashambani.Uhuru wa demokrasia au watu kujitawala bila shibe na maendeleo ya kisekta ni upuuzi.
Alisema kwa msisitizo ndugu Shaka.Pia aliendelea kusema kuwa
“Tumemaliza kampeni na uchaguzi mkuu kila mmoja sasa afanya kazi, kukusanya watu kwenye makongamano na kuwapa bahashishi ni kuwapumbaza kiakili ikiwa bado ni Maskini" alimaliza kusema ndugu Shaka..
Source
Gazeti la Mtanzania la mei 15,2017 toleo Na.8546
Ukurasa wa 8.