UVCCM yajibu mapigo ya Lowassa

UVCCM yajibu mapigo ya Lowassa

Shenzi zao waachane na ENL wamshauri bichwa asiendelee kuuwa uchumi wa nchi yetu maana kutuulia uchumi wetu haikuwa kwny ilani yenu ya uchaguz
 
Well said!
BS eti tufanye kazi sio mikutano kwani magufuli mikutano hafanyi??? Afu kuna watu sijui IQ zao zikoje. Kma hataki siasa si akafute vyama kwa msajili iweje sheria inaelekeza vingine na rais anasema vingine hyo ndo swali letu wapinzani. Hyu shaka naona yakimpata ya nape ndio cku unafki utaisha
 
uanaume wetu unaonekana kwenye uchaguzi ..hapo ndipo utawajua ccm ni nani
Hahahhahaha kwa kutegemea polisi na usalam wa taifa!!!!? Kwenye kampeni mpaka mkaiga M4C yanai hadi mkaacha chagua ccm mkaanza CHAGUA MAGUFULI hahahahahahah nkikumbuka nacheka sana afu ndo unajisifia eti MNATUONYESHAGA UANAUME!!! Kwi kwi kwi unless uanaume ni kufuta uchaguzi unapoona umeshindwa
 
Kumbe unatafuta AJIRA 😱😱😱
Basi pole umefail hapa zaidi nunua Gazeti Mtanzania usome vizuri ili kukufikra zako zilizoshindwa kujiajiri.😀😀😀😀
Akili zako zipo KIBASHITE BASHITE
Uwe unaedit basi kabla ya kupost! Kukufikra ndio nini?
Binafsi sipendi na ninawachukia watu wanaojitapa na wale wanaowapangia wenzao jambo la kufanya kama unavyonituma kujiajiri ili hali miye ni mwajiriwa wa lumumba st ninayewafunda wanaojipendekeza kwa ajili ya tuvyeo tusivyo na pension. Halafu kuniita mtoto wa mkuu sijaoendezewa kwani yeye anakula mayai kea supu miye mihogo kwa chai ya rangi. Tuheshimiane.
 
Back
Top Bottom