UVCCM yajibu mapigo ya Lowassa

MBONA BOSS WENU ANALAZIMISHA TANZANIA NZIMA TUWE CCM,AMWAMBI MAMBO KAMA HAYA
Kwanza CCM hatuna boss tunamwenyekiti boss yuko huko kwenye sacoss Dj alieng'angania.

Ukiweza kusema ni wapi na lini amelazimisha watu wote wawe CCM itakua poa.
Ila upinzani itakufa natural death manake unafiki wao unazidi kujioambanua
 
H

Hivi hiki ki-NGO bado kipo hai? hopeless kabisa, utafikiri sio vijana wa chama tawala.
Kuna Chama kilicho na jumuiya imara ya Vijana tanzania na Afrika mashariki kama CCM?
Anza kujiuliza maswali ya kabla ya kujifunga kitambaa usoni kana kwamba hauoni kwamba UVCCM ndio taasisi imara ya Vijana Tanzania kwa upande wa kupika vijana Kisiasa na uzalendo.
 
Wazee wao si ndo wale wanaenda bandarini wanaambiwa kuna meli 30 per day wanachekerea ata awashituki kuwa huu ni uongo ambao ata tahira anaelewa kadanganywa
ALAFU WANATAKA TUWAONE WANA MAANA
Sijui itakuaje Uzee wa hao vijana! Ni faraja ya Moyo na akili kutumia UBONGO bila shuruti.
 
Hivi sheria ya copyright haihusu mtu kuhamisha habari nzima ya kwenye gazeti kama ilivyoandikwa kisha ukaileta hapa? Naomba wenye uelewa wajambo hili wanisaidie tafadhali!
 
Eti “ Haiba ya demokrasia iliyopo Tanzania huwezi kukutana nayo popote Afrika mashariki,Afrika na duniani kwa ujumla"! Hii ni kauli/statement ya kijinga ambayo nimewahi kusoma mwaka huu...
 
Shaka na UVCCm yake ni wakupuuzwa sana tu huyu jamaa huwa hajui anachokiongea uwa anaongea kama ana garantee na hiyo ccm au na Mungu, aweke akiba ya maneno
Anaongea kweli ambayo kama Vijana wa CCM ufundishwa kusema kweli,
Wanakumbuka mafundisho yao hivyo acha waseme ukweli UVCCM wanaenenda katika hilo.
 
Eti “ Haiba ya demokrasia iliyopo Tanzania huwezi kukutana nayo popote Afrika mashariki,Afrika na duniani kwa ujumla"! Hii ni kauli/statement ya kijinga ambayo nimewahi kusoma mwaka huu...
Pole muhimu ujumbe umefika naimani umesoma vema
 
Kwanza CCM hatuna boss tunamwenyekiti boss yuko huko kwenye sacoss Dj alieng'angania.

Ukiweza kusema ni wapi na lini amelazimisha watu wote wawe CCM itakua poa.
Ila upinzani itakufa natural death manake unafiki wao unazidi kujioambanua
Kuna vitu vingine sio mpaka utamkiwe pambanua anavyo minya democracy lengo si kuuwa upinzani na ukisha uwa upinzani si ni sawa unataka chama kimoja,uyo ndo boss wako cha msingi ulielewa ni namaanisha
 
Sijui itakuaje Uzee wa hao vijana! Ni faraja ya Moyo na akili kutumia UBONGO bila shuruti.
UVCCM utoa vijana thabiti kama ufafanuzi muulize mzee wowote wa chama chako, ila kwa maelezo na mifano tazama viongozi wa leo Tanzania.
 
Imepita miezi sasa nawaza hivi Vyama vingine vinawasaidia vipi vijana katika kuwapika kizalendo maana naona UVCCM pekee ikiwakoka Vijana wengi viongozi wazuri wazalendo kwa taifa letu.
Siwasikii tena Bavicha wala wale wa CUF.
BAVICHA amesikitishwa sana ujinga wa chama chao kuwa kimbilio la watu wa Ovyo.Kwa sasa inasikitisha wamekisusia chama chao kabisa.
 
Awana lolota ao waalibu nchi tu kama wangaipenda nchi tungeona wakimshauli rais wao mbona nchi inaendeshwa ndivyo sivyo wakowapi ao wanafki tu
 
Hivi akili zako bado zipo kwenye Viroba tu.
Hakuna dictator hapa nchini ila mnatengeneza mazingira ya kuwapambanisha watawala na wananchi
Tumewapuuza ukweli utasimama
Sudy, rejebisha hili neno tumewapuuza ili lisomeke kuwa nimewapuuza. Hii ni kwasababu nyingi tu ikiwa wewe siyo uvccm yote na wala sio ccm yote na huenda wewe ni member na si msemaji wa vyote hivyo punguza mapovu tuelewane.
Unadiriki kuwa msemaji wa serikali pale unapoitetea demikrasia inayopraktisiwa gizani na hilo jingine uliloliandika kuwa hayupo kihivyo bali ni uchonganishi tu sikubaliani nawe.
Hivi hujajua kuwa watu wanaitumia milango yao ya fahamu ipasavyo kwa sasa? Pita mitaani usikie wanavyoponda kila kinachofanyika. Jukwaani utaongopewa, ingia field kitaa na huyo uvccm wako mjitambulishe muisikie misonyo!
 
Awana lolota ao waalibu nchi tu kama wangaipenda nchi tungeona wakimshauli rais wao mbona nchi inaendeshwa ndivyo sivyo wakowapi ao wanafki tu
Nadhani ww mkongo wa tz hutuongei ivo
 
Chadema hawa hawa, wawatoe ccm madarakan? Hiz ndoto za mchana iz
Bado sijamuona wakuing'oa CCM wapinzani wote ni wazandiki na nimegundua wanategemea pesa za CCM kuiondoa CCM [HASHTAG]#WatashindwaTu[/HASHTAG]
 
UVCCM utoa vijana thabiti kama ufafanuzi muulize mzee wowote wa chama chako, ila kwa maelezo na mifano tazama viongozi wa leo Tanzania.
Ni kweli UHURU wa Kidemokrasia na kujitawala ni UPUUZI bila shibe na maendeleo ya kisekta??? Ni kwa nini KATIBA YETU inatamka Nchi yetu ni ya UHURU wa Kidemokrasia??
 

Acha kupotosha umma kwa kuzunguka katika jimbo lako linalomilikiwa na Ukawa ambapo mpaka sasa haujapata maendeleo yoyote toka kuwachagua.
Jimbo ninalotokea mimi ukijitambulisha wewe ni Ukawa sijui Chadema maana bavicha hawatambuliki kabisa juwa kabisa jinsi utakavyodharaulika ni zaidi ya teja maana tunaamini hakuna mkweli katika upinzani kwakuwa wamejikita kupotosha kila kweli ambayo kwa waelewa wa mambo dhahiri wanatupeleka chaka.....

Kuhusu usemaji wa Chama naomba utambue hapa sipo kwenye kukisemea chama wala taasisi ya chama, ila nipo katika kutetea kweli dhidi ya wapotoshaji......rejea habari ya hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…