UVCCM yajibu mapigo ya Lowassa




UVCCM NI KIBOKO YAO. YUENDELEE KUIAMINI NA KUIIMARISHA KWANI NDIO ASKARI WA KUHAKIKISHA SERIKALI INAFANYA MAJUKUMU YAKE KIUFASAHA. UVCCM VIVAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
UVCCM NI TANURU LA KUPIKA VIONGOZI WAZALENDO WA TANZANIA. TUWAPIGE HAO WANAOLETA PROPAGANDA DHIDI YA SERIKALI MAKINI YA CCM. CCM OYEEEEEEEEEEEEEEE
 
H

Hivi hiki ki-NGO bado kipo hai? hopeless kabisa, utafikiri sio vijana wa chama tawala.

KI-NGO NI CHADEMA NA JUMUIYA ZAKE , UVCCM NI JUMUIYA MAKINI INAYOSIMAMIA KANUNI ZAKE LAKINI PIA NDIO JUMUIYA YA VIJANA YA CHAMA CHA SIASA CHENYE NGUVU ZAIDI BARANI AFRICA NA CHA PILI DUNIANI BAADA YA KILE CHA CHAMA TAWALA CHA CHINA (CPC YOUTH LEAGUE OF CHINA)
 
Waambieni UVCCM watu wenye akili awatumii mda wao kuwafurahisha mabosi wao kama wao wafanyavyo ila wanatumia mda kufikiri namna ya kuibadilisha tanzania,
NJAA IKIZIDI LAZIMA UWE MUONGO MUONGO(Shaka)
 
Yani cjui niseme bola ccm wakubwa ndo ccm maana hawa ccm watoto mimi cwapend kiuhalisia wanajawa wivu , hasila na unafiki wenyewe kwa wenywe UVCCM ANAYE NIBISHIA APINGEE
 
Iyo tathimini kafanya nani?
 
MWENYE LAANI NA UTANDU WA UBONGO NI WEWE NYUMBU USIYEJIELEWA. KUPAMBANA NA CCM NI SAWA NA KUFUKUZA UPEPO. UTAUMIA BURE CCM CHAMA KUBWA.
Wewe utakuwa unatokea kanda ya kati au pwani siyo bure, kule umaskini ni sehemu ya maisha yenu ndiyo maana mnakipenda kijani, mtakufa maskini.
 
MWENYE LAANI NA UTANDU WA UBONGO NI WEWE NYUMBU USIYEJIELEWA. KUPAMBANA NA CCM NI SAWA NA KUFUKUZA UPEPO. UTAUMIA BURE CCM CHAMA KUBWA.
Wewe utakuwa unatokea kanda ya kati au pwani siyo bure, kule umaskini ni sehemu ya maisha yenu ndiyo maana mnakipenda kijani, mtakufa maskini.
 
Ilifikia hatua iyo taasisi kiongozi wake aliitwa dhaifu na watu kusherehekea, asante magu shikamoo kwa hili.
 
Shida ni kulazimisha vijana wote wapende upinzani,
Ingekua ni hvyo basi wanaume wote wangewapenda wake zenu ama wanawake wote wawapende waume zenu
 
Imepita miezi sasa nawaza hivi Vyama vingine vinawasaidia vipi vijana katika kuwapika kizalendo maana naona UVCCM pekee ikiwakoka Vijana wengi viongozi wazuri wazalendo kwa taifa letu.
Siwasikii tena Bavicha wala wale wa CUF.
 
Kwani walichukua tena Arusha?Au ileile ya Bukoba?
 
Imepita miezi sasa nawaza hivi Vyama vingine vinawasaidia vipi vijana katika kuwapika kizalendo maana naona UVCCM pekee ikiwakoka Vijana wengi viongozi wazuri wazalendo kwa taifa letu.
Siwasikii tena Bavicha wala wale wa CUF.
Hii ni point isipuuzwe hata kidogo.
 
Kama Vijana wanawaza ivo je Wazee wao wanawaza nini??
Wazee wao si ndo wale wanaenda bandarini wanaambiwa kuna meli 30 per day wanachekerea ata awashituki kuwa huu ni uongo ambao ata tahira anaelewa kadanganywa
ALAFU WANATAKA TUWAONE WANA MAANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…