upupu255
JF-Expert Member
- Sep 4, 2024
- 341
- 476
Maelfu ya vijana kutoka mikoa mbalimbali nchini, 19 Machi 2025 wamekutana mkoani Morogoro kusherehekea miaka minne ya dhahabu ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hamasa imekuwa kubwa kutokana na maendeleo makubwa aliyoyafanya Dkt. Samia kwa vijana nchini ambapo leo kunafanyika Kongamano katika Ukumbi wa Tanzanite, Morogoro linaloangazia makubwa yote yaliyofanyika na yanayofanyika na mgeni rasmi ni Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC).
Wanavyuo kwa pamoja tunasema Wasomi Tumekuelewa, Maendeleo Tumeyaona, Dkt. Samia Mgombea Wetu 2025.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hamasa imekuwa kubwa kutokana na maendeleo makubwa aliyoyafanya Dkt. Samia kwa vijana nchini ambapo leo kunafanyika Kongamano katika Ukumbi wa Tanzanite, Morogoro linaloangazia makubwa yote yaliyofanyika na yanayofanyika na mgeni rasmi ni Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC).
Wanavyuo kwa pamoja tunasema Wasomi Tumekuelewa, Maendeleo Tumeyaona, Dkt. Samia Mgombea Wetu 2025.