UVCCM na TISS mmepanga Maandamano yenu Dec 9 eeh, tunawakaribisha sana, Sisi kwetu Mbwai na Iwe Mbwai !! no way !!.

UVCCM na TISS mmepanga Maandamano yenu Dec 9 eeh, tunawakaribisha sana, Sisi kwetu Mbwai na Iwe Mbwai !! no way !!.

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Tunawakaribisha sanaaa kwenye MAANDAMANO ya Tuliouliwa Ndugu zetu, karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya sisi tunaowatafuta Maiti zetu, Karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya Sisi ambao Maiti zetu zimechomwa na kuyeyushwaaaa hata zisionekane.


Karibuni Sanaa sanaaaaa .


Na sisi Maandalizi yetu yamekamilika vizuri tu !!.

Tutalala nanyinyi kimlalo ulalo !!.
 
Wanajeshi wanaambiwa wasifanye siasa wewe unaendelea na ujinga wako.
 
Tunawakaribisha sanaaa kwenye MAANDAMANO ya Tuliouliwa Ndugu zetu, karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya sisi tunaowatafuta Maiti zetu, Karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya Sisi ambao Maiti zetu zimechomwa na kuyeyushwaaaa hata zisionekane.


Karibuni Sanaa sanaaaaa .


Na sisi Maandalizi yetu yamekamilika vizuri tu !!.

Tutalala nanyinyi kimlalo ulalo !!.
Samuya ni hasara kubw akwa Taifa
 
Tunawakaribisha sanaaa kwenye MAANDAMANO ya Tuliouliwa Ndugu zetu, karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya sisi tunaowatafuta Maiti zetu, Karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya Sisi ambao Maiti zetu zimechomwa na kuyeyushwaaaa hata zisionekane.


Karibuni Sanaa sanaaaaa .


Na sisi Maandalizi yetu yamekamilika vizuri tu !!.

Tutalala nanyinyi kimlalo ulalo !!.
Ushalibeba kama lilivyo toka kwa yule Malaya aliyekimbilia kenya
Hivi kule maisha yake anagharamia nani?
 
Tunawakaribisha sanaaa kwenye MAANDAMANO ya Tuliouliwa Ndugu zetu, karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya sisi tunaowatafuta Maiti zetu, Karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya Sisi ambao Maiti zetu zimechomwa na kuyeyushwaaaa hata zisionekane.


Karibuni Sanaa sanaaaaa .


Na sisi Maandalizi yetu yamekamilika vizuri tu !!.

Tutalala nanyinyi kimlalo ulalo !!.
Tutawashughulikia hao uvccm mpaka watajuta
 
Kwenye katiba kifungu cha 14 haki ya kuishi imetajwa, kwa maana hiyo hii katiba imekiukwa kwa mara nyingine tena kulingana na vifo vilivyotokea? kwani kuna watu wamekatizwa uhai wao.
Kulingana na sheria (raia wanatakiwa kuwa hai):
Haki ya kuwa hai
Sheria ya 1984
Na.15 ib.6
 
Kikwete inabidi akatembelewe kumsalimia kidogo maana ndiyo yeye alimopitisha kihuni siku Ile.Eti kakikwete kanasema tumalize tu hapahapa au mnasemaje? Kwa namna hiyo kweli angepatikana wa kupinga?kikwete atuombe msamaha maana bila yeye yasingetokea haya yote
 
Kikwete inabidi akatembelewe kumsalimia kidogo maana ndiyo yeye alimopitisha kihuni siku Ile.Eti kakikwete kanasema tumalize tu hapahapa au mnasemaje? Kwa namna hiyo kweli angepatikana wa kupinga?kikwete atuombe msamaha maana bila yeye yasingetokea haya yote
Anafaodika na mfumo huuo boya JK.....anasubiri 2030 samuya ampitishe Riz1 awe mgombea ccm kwa Urais.....ndio maagano yao.....
 
Tunawakaribisha sanaaa kwenye MAANDAMANO ya Tuliouliwa Ndugu zetu, karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya sisi tunaowatafuta Maiti zetu, Karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya Sisi ambao Maiti zetu zimechomwa na kuyeyushwaaaa hata zisionekane.


Karibuni Sanaa sanaaaaa .


Na sisi Maandalizi yetu yamekamilika vizuri tu !!.

Tutalala nanyinyi kimlalo ulalo !!.
Kwenye post zangu nimewahi kuanticipate hii move kutoka TISS

Sasa hapa ndio sisi wataalaam wa hizi kazi tunaenda kuiingilia Hayo maandamano yao.

Ngoja tukatoe Elimu kubwa kwa vijana wayatumie hayo maandamano kwenda Ikulu
 
Back
Top Bottom