UVCCM Morogoro wampinga Malecela

hii nguvu inayotumika kumsafisha Lowasa ni kwa maslahi ya nani?
Ni kwa maslahi ya kutunza demokrasia ndani ya ccm, kama alivyofafanua Mh Nape alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari huko Mbeya. Aliongeza kwa kusema kwamba hakuna chama chenye demokrasia pana kama ccm hapa nchini.
 
wanatakiwa wanasiasa jasiri kama makonda kusema ukweli na kutooogopa

tunajua chaguo lenu ni asha migiro na january yusufu..tunaombea apite lowassa sababu kazi itakuwa nyepesi kuwaondoa wakoloni weusi.
 
ccm kuna udikteta,hakuna demokrasia..mtendeeni haki lowassa..au kwa vile ananadi sera ya chadema ya elimu bure?
 
Toa tamko M/Kiti wa tawi la vyuo. Kwani hujui kusema; Nimetoa tamko?? Ka hujui sema tukusemeee. Kyama Kimekufa Kyenyewe hikyoooo. Wow! CCM is no moreeeeeee
 
CCM kama mna jeuri mfukuzeni EL kama chadema walivyofanya kwa msaliti. Zitto

Hakuna mwenye ujasiri huo CCM wote ni majizi tu.......mwambieni Mzee wa ivory amfukuze ENL naye abumbulushe ishu zake za pembe za ndovu
 

This is funny,

Unapinga watu kutoa matamko huku wewe ukitumia njia hiyo hiyo kutoa matamko?


Kama Makonda amekiuka kanuni,kwani wewe usipeleke kwenye vikao vya chama?Wewe umefuata katiba ipi iliyokuruhusu kumshutumu Makonda na Malecela hadharani?

Je ukiambiwa na wewe umuombe msamaha Mzee Malecela utaona umeonewa?


Yaani kada wa muda Mrefu wa UVCCM ndiyo anaweza kweli kuja hadharani kwa hoja dhaifu na za aibu namna hii?Hii ndiyo hazina ya CCM? Kweli hii chama hakiwezi kuunda serikali bila mawaziri mizigo na in the near future tutarajie the worst.

Unasema makonda kadanganya,je ukiulizwa ni lini Lowassa alistaafu U-waziri mkuu utatujibu kwa weledi na kutuondolea mashaka juu ya kauli na dhamira yako?

-Hivi,hili Tamko ni lako Binafsi kama mwenyekiti wa hilo tawi au la taasisi unayowakilisha?
 

mbona wewe ulipotoa kashfa kwa kiongozi wako wa chama enzi hizo akiwa naibu katibu mkuu hukuchukuliwa hatua? halafu kwa kosa hilo hilo la zitto kukashifu uongozi yamemkuta.......
Chadema itakufa kabla ya CCM
 
Komredi Heri Hoza umesahau pia kuwa Nyerere alimuuliza Lowasa utajiri huo kautoa wapi? Unakumbuka ya Malecela tu! Unapendekeza CCM wazuie matamko na wewe unatoa tamko! Unasema Mzee Malecela (ambaye pengine analingana na babu yako) kuwa Hana busara, je wewe busara yako ni ipi kusema hayo?

Vijana jitambueni, mnaelekea kusiko na mnapeleka taaifa kusiko.
 
Tatizo Mzee Malecela anaamini watanzania wa sasa wanamsikiliza. Angefanya utafiti kidogo angeshangaa sio watu watu wengi hawamsikilizi lakini hawajui yeye ni nani?!
 
Malumbano yanayoendelea ni katika kukua kwa demokrasia ndani ya chama. Siasa si uadui kama ilivyo ndani ya CHADEMA

siku hizi imekuwa hivyo tena?? Ccm kiboko,mnajuwa sana kujipooza na kujiliwaza kwakweli,, lakin kifo chenu tayar kimesha fika, nyambafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…