UVCCM:Katiba ya Z'bar iandikwe upya

UVCCM:Katiba ya Z'bar iandikwe upya

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,191
Reaction score
138,533
Gazeti Mtanzania la 29/12/2014 limeripoti kuwa Umoja wa Vijana CCM wametaka katiba ya Zanzibar iandikwe upya kwa kuwa toka mapinduzi yafanyike haijawahi kuandikwa katiba iliyoshirikisha wananchi.
 
Gazeti Mtanzania la 29/12/2014 limeripoti kuwa Umoja wa Vijana CCM wametaka katiba ya Zanzibar iandikwe upya kwa kuwa toka mapinduzi yafanyike haijawahi kuandikwa katiba iliyoshirikisha wananchi.

UVCCM NI KM BENDERA FATA UPEPO.. APO WATAKUA WAMESIKIA FUNUNU KUWA NAPE ATALISEMA ILO. HAWA VIJANA NI WABWATUKAJI SANA NASHANGAA CCM INASHINDWA KUQAKEMEA AWA WALOPOKAJI WAKUBWaa
 
Sasa kutokana na nauli hiyo, Ni nini nafasi ya katiba yetu pendekezwa?
 
Gazeti Mtanzania la 29/12/2014 limeripoti kuwa Umoja wa Vijana CCM wametaka katiba ya Zanzibar iandikwe upya kwa kuwa toka mapinduzi yafanyike haijawahi kuandikwa katiba iliyoshirikisha wananchi.

ivi hawa uvccm waloiga uopo lopo wa nnape nnauye bado wana sikilizwa??
 
Kati ya wapuuzi wanaofunga mwaka huu 2014 na mpuuzi atakaouanza mwaka 2015 ni wewe

Hata walioko Milembe wanatuona sisi tulio nje ya Milembe ndo vichaa.... kwa hiyo hujashangaza bado... unafanya marudio ya wenzio
 
Kumbe inawezekana eeh?!

Kumbe Wananchi wakijitambua inawezekana! Haya yote yanafanyika ili kujikosha baada ya kuona hali ya upepo wa Kisiasa si nzuri kwa Magamba. Eti wanawasimamisha Wakurugenzi wao walioshindwa kuwaibia kura ama kutangaza wagombea wao walioshindwa etc. Kama kweli CCM inania wawatimue MAFISADI wote hata wasipowashitaki mahakamani, masikio na macho yao yafunguke wasikilize na watekeleze kile wanachoambiwa au kuona kutoka kwa wananchi! Wananchi wamelalamika kuhusu Katiba mbovu iliyopo na hiyo pendekezwa, rushwa na ufisadi, double standard katika sheria, ukubwa wa serikali na matumizi makubwa yanayo aksi wizi wa mali ya umma etc.

Wananchi wasibweteke na hatua hizi mchwara za kujaribu kurudisha imani, wakiendelea kukaza kamba mpaka uchaguzi Mkuu ujao mbona kitaeleweka tu.
 
Gazeti Mtanzania la 29/12/2014 limeripoti kuwa Umoja wa Vijana CCM wametaka katiba ya Zanzibar iandikwe upya kwa kuwa toka mapinduzi yafanyike haijawahi kuandikwa katiba iliyoshirikisha wananchi.

Kama walio sema haya wangekuwa Jumuiya ya Wazee Wahafidhina wa CCM Unguja nisinge shangaa! Sasa kumbe ni Vijana!! Hawa ni vijana kwa umbo la nje lakini ni wazee waliokata tamaa kiakili!
 
UVCC ni kundi la Seif Ali Iddi shida yao kubwa ni kuifanya Zanzibar kijiji , Tanganyika waache watunge Katiba wanayoitaka lakini Zanzibar tutauwana
 
Hao uvccm kwanza watuambie matatizo ya katiba ya zanzibr kisha ndipo tutunge mpya,mwaka 2010 katiba ya zanzibar imejengewa zege zidi ya wale makuwadi wa tanganyika wanaotaka kuizamisha zanzibr.
 
Back
Top Bottom