Mkya
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 667
- 94
Juzi siku ya jumamosi uvccm mkoa wa Arusha walifungiana ofisi baada ya kubaini kuwa kuna ubadhilifu Wa shilingi milioni kumi na tatu ziliziliwa na Mwkt na Katibu wake
Wajumbe walipokuja kwenye kikao na kuikuta hali ya pesa zao hazito zimeliwa waliende kununua kofuli na kuifunga ofisi
Baada ya kufunga Katibu Wa Mkoa huo Wa vijana aliulizwa kwani hili limetokea akajibu waliyofunga ofisi ni majangili na wanataka kunifundisha Kazi baada ya kuwakatalia vitu vyao feki ikiwa ni Pamoja na mtandao wao Wa uraisi
1.Mwenyekiti alitaka nimlipe laki tano Kama posho ya mwezi nikamkatalia
2.Mwenyekiti alitaka kunilazimisha kuvunja kanuni kwa kuunda kamati feki ya uchumi bila Baraza kuridhia nikakataa
3.Kuna mpango Wa kumleta mwekezaji Wa kihindi aje kuwekeza jengo kubwa mkataba ambao utatupeleka miaka MIA bila faida kwa vijana na tayari wameshaa ahidiwa shilingi milioni MIA mwenyekiti na wenzake mm nimekataa maana sitaki history ije kunihukumu.
4. Mgogoro Wa kamanda meru mwentekiti ametengeneza kamanda wake tofauti na ambaye vijana wanamtaka wilaya ya meru jambo ambalo kwenye ziara ya mangula watu wameru walisemawazi kuwa anayevuruga siasa ya meru ni mwenyekiti Wa Mkoa Mgogoro huo kwa sasa umeingiliwa na kambi za ubunge na urais.
Nawatakia mgogoro mwema UVCCM Mkoa Wa Arusha
Wajumbe walipokuja kwenye kikao na kuikuta hali ya pesa zao hazito zimeliwa waliende kununua kofuli na kuifunga ofisi
Baada ya kufunga Katibu Wa Mkoa huo Wa vijana aliulizwa kwani hili limetokea akajibu waliyofunga ofisi ni majangili na wanataka kunifundisha Kazi baada ya kuwakatalia vitu vyao feki ikiwa ni Pamoja na mtandao wao Wa uraisi
1.Mwenyekiti alitaka nimlipe laki tano Kama posho ya mwezi nikamkatalia
2.Mwenyekiti alitaka kunilazimisha kuvunja kanuni kwa kuunda kamati feki ya uchumi bila Baraza kuridhia nikakataa
3.Kuna mpango Wa kumleta mwekezaji Wa kihindi aje kuwekeza jengo kubwa mkataba ambao utatupeleka miaka MIA bila faida kwa vijana na tayari wameshaa ahidiwa shilingi milioni MIA mwenyekiti na wenzake mm nimekataa maana sitaki history ije kunihukumu.
4. Mgogoro Wa kamanda meru mwentekiti ametengeneza kamanda wake tofauti na ambaye vijana wanamtaka wilaya ya meru jambo ambalo kwenye ziara ya mangula watu wameru walisemawazi kuwa anayevuruga siasa ya meru ni mwenyekiti Wa Mkoa Mgogoro huo kwa sasa umeingiliwa na kambi za ubunge na urais.
Nawatakia mgogoro mwema UVCCM Mkoa Wa Arusha