Mh SAMBALA
Member
- May 29, 2011
- 43
- 2
Kufa na Kupona kwa CCM..
Ni nini mh.? Nadhani una siri kubwa moyoni, amplify basi nasi tupate japo cha kusema.Kufa na Kupona kwa CCM..
hawezi rudiHana lolote huyo ni mmoja kati ya wale vijana wanaotoana roho kuwania uongozi UVCCM,anajiita mh kisa ni diwani wa kata gani sijui dodoma huko! anamiliki ka group kake kule facebook kanaitwa TANURU LA FIKRA,kutwa ni kuwachafua vijana wenzake wenye nia na UVCCM kwenye hilo group na ni mmoja wa wafuasi wa kigwangala,anamkashifu bashe kila siku! anajiita comrade sambala,kifupi anapenda misifa ya kijinga! Im out aje ajitetea nimwage maovu yake hapa,,,
Hana lolote huyo ni mmoja kati ya wale vijana wanaotoana roho kuwania uongozi UVCCM,anajiita mh kisa ni diwani wa kata gani sijui dodoma huko! anamiliki ka group kake kule facebook kanaitwa TANURU LA FIKRA,kutwa ni kuwachafua vijana wenzake wenye nia na UVCCM kwenye hilo group na ni mmoja wa wafuasi wa kigwangala,anamkashifu bashe kila siku! anajiita comrade sambala,kifupi anapenda misifa ya kijinga! Im out aje ajitetea nimwage maovu yake hapa,,,
Hana lolote huyo ni mmoja kati ya wale vijana wanaotoana roho kuwania uongozi UVCCM,anajiita mh kisa ni diwani wa kata gani sijui dodoma huko! anamiliki ka group kake kule facebook kanaitwa TANURU LA FIKRA,kutwa ni kuwachafua vijana wenzake wenye nia na UVCCM kwenye hilo group na ni mmoja wa wafuasi wa kigwangala,anamkashifu bashe kila siku! anajiita comrade sambala,kifupi anapenda misifa ya kijinga! Im out aje ajitetea nimwage maovu yake hapa,,,
Chadema juu
Chadema juu
Na bado tunajiandaa kuivamia Arumeru kulitwaa jimbojuu zaidi!
Nimeipenda hii signature....Hana lolote huyo ni mmoja kati ya wale vijana wanaotoana roho kuwania uongozi UVCCM,anajiita mh kisa ni diwani wa kata gani sijui dodoma huko! anamiliki ka group kake kule facebook kanaitwa TANURU LA FIKRA,kutwa ni kuwachafua vijana wenzake wenye nia na UVCCM kwenye hilo group na ni mmoja wa wafuasi wa kigwangala,anamkashifu bashe kila siku! anajiita comrade sambala,kifupi anapenda misifa ya kijinga! Im out aje ajitetea nimwage maovu yake hapa,,,