nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
..kwa TZ muathirika mkuu atakuwa TTCL...tayari ijumaa nimeskia TTCL wamekata huduma ya internet Arusha wakisingizia mvua....sasa najiuliza isijekuwa TTCL wamepigwa tayari na ili kuondoa panic kwa customers ambalo ni taasisi tele TZ labda wamesitisha huduma zao kwa baadhi ya taasisi nyeti...kama za elimu etc....just thinking loud...