Uvaaji wangu umekuwa kichekesho

Uvaaji wangu umekuwa kichekesho

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Pamoja na kuwa na nguo nzuri, kuwa na mwili mzuri wa kukaa nguo (kuna watu hata umvalishe nguo nzuri namna gani bado hatopendeza), nimekuwa nikiboronga katika uvaaji, jinsi ya kujua nguo gani iendane na ipi, mara chache sana ninapatia na nikipatia basi nakuwa nasifiwa sana, oh! leo umependeza sana, hasa wanawake wananimwagia sifa sana, ni katika muktadha huu nimegundua nikijua kuvaa vizuri basi itakuwa siraha ya maangamizi kwa wanawake. Kwa kuwa mtandao huu una kila aina ya wataalamu, hebu nipeni elimu hii.
 
tuambie unavaaje kwanza ndio tukushauri!
 
gone too far....sasa jukwaa la elimu na wewe kuwa silaha baadaye wapi na wap? kungekuwa na dr. karibu ningeshauri uangaliwe ujazo
 
Weka picha yako kwanza tujue jinsia na mwonekano wako.
Rahisi kusauri.

Naweza kushauri uvae kaptura kumbe una tusipik miguuni na kitambi, utaonekana kama samtreala limekata senta bolti.
 
tuambie unavaaje kwanza ndio tukushauri!

kwani huwezi kushauri nguo gani ivaliwe na ipi au rangi fulani iendane na rangi hii hadi ujue navaaje?
 
Weka picha yako kwanza tujue jinsia na mwonekano wako.
Rahisi kusauri.

Naweza kushauri uvae kaptura kumbe una tusipik miguuni na kitambi, utaonekana kama samtreala limekata senta bolti.

huwezi kushauri bila kuona?
 
gone too far....sasa jukwaa la elimu na wewe kuwa silaha baadaye wapi na wap? kungekuwa na dr. karibu ningeshauri uangaliwe ujazo

ujazo wa nini mkuu.
 
Vaa jezi ya Man United chin vaa jeans...lazma usifiwe kila kona unatakapopita
 
Ni nguo zp ukivaa unasifiwa? Jins,kitambaa au kadet? Pia wewe ni mnene au mwembamba? Mrefu, mfupi au kawaida? Vgezo hvyo hapo ni muhmu sana kuzngatia..pia sehemu za matukio lazima uzingatie,kazini,club,kanisan/msikitin,haruc/sendoff,n.k. MADA YAKO PANA SANA.
 
Fuatilia fashion magazines kwa ushauri zaidi...
 
tuambie unavaaje kwanza ndio tukushauri!

Weka picha yako kwanza tujue jinsia na mwonekano wako.
Rahisi kusauri.

Naweza kushauri uvae kaptura kumbe una tusipik miguuni na kitambi, utaonekana kama samtreala limekata senta bolti.

kwani huwezi kushauri nguo gani ivaliwe na ipi au rangi fulani iendane na rangi hii hadi ujue navaaje?

harem-pants-for-men.jpg
101204_161523.jpg
 
Back
Top Bottom