Uvaaji wa wanawake wa namna hii

Uvaaji wa wanawake wa namna hii

gorgeous+african+lady+mini+skirt.jpg

huwa wananikosha sana.....kama hapa roho yangu kwatuuuu
 
Waache wavae tusafishe macho



...Serikali imesema wakati wowote kuanzia sasa itatangaza vazi la Taifa litakalowatambulisha Watanzania mahali popote walipo duniani.
 
Kweli! Ila kuna baadhi ya watu watapinga. Vaeni vizuri tu, vaa nguo ndefu, pana isibane maungo yako ya mwili. Wamama pendeni kujistili la sivyo mtaishia kumegwa na kuachwa yaani mtakuwa kama kiti cha saloon

Wewe ni mtu makini
 
Kuvaa ni uamuzi wa mtu.waacheni dada zetu wavae mavazi wapendao. hii tabia ya kuhukumu watu kulingana na mavazi tuache. kila mtu avae nguo yeyyote na anavyopenda
 
umekosa umakini mkuu
Bosi pengine uko sahihi mimi sipo sahihi ndo sababu bado sijapaki nasubiri nisikie kutoka kwako.Mie kama muumini wa falsafa za Bob Marley naomba kunukuu kutoka kwake ...I know am not perfect and i was not born to be.
 
Back
Top Bottom